Nilichokutana nacho jana sina hamu

Nilichokutana nacho jana sina hamu

kilichokuuma ni nini? Kama ni neno 'MZINGUAJI' mbona Mleta mada mwenyewe kakiri kuwa yeye ni MZINGUAJI. Polee
Sio kwamba mzinguaji ndo nature yangu nop kwa jamaa tu ndo nilimzingua lakini sio kwamba ndo katabia kangu ko kunita mzinguaji unakosea
 
Kuna wimbo wa Lady JD naufahamu tu Chorus yake aiseeee, simbo wenyewe wa zaman lakini huwa naupenda sana sana. Mwenye kuufahamu anijulishe, maneno ya kwenye Chorus ndio haya

"Usikatae akikuita, labda kesho yatakukuta, dunia......"
Dunia ya badilika..
 
Na mwaka huu mtapanda haice adi mkome.

Kuna dada mmoja yupo crdb nilimfuataga sana akaniblock nikampotezea, chaajabu nakutana nae nahisi atakua anaumia kama huyu mleta uzi!

Kipind namfwata nilikua napark gari mbal namfuata na kumsindikiza by TZ11 thn narudia usafiri nasepa.

Nadhan hii itakua sawa, akitokea wa kupata iyo bahati ndo ale mema ya nchi
 
Hello jf,

Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,

Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,

Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
HONGERA KWA MAAMUZI MAGUMU ULIYOYAFANYA SIKU ZA NYUMA
 
Hello jf,

Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,

Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,

Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Majibu yako yapo hapa hapa utafute Uzi wa hhhj unaitwa POLE SANA DADA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom