Topic na ujauzito vinahusiana?MTOA MADA ANA UJAUZITO HALAFU UMEKIMBIWA NDIO MAANA NETWORK IMEPOTEA ANAANDIKA UGORO MTUPU
Bora unisaidie kuwaeleza mana wengine wanadis sana mada za wenzaoAfadhali hata huyu anakitu kinachoweza jadilika. Kuna wengine mpaka unajiuliza amefikiria nini?! Mfano jamaa anauliza maana ya "biological father" si angegoogle tu!
Ndo hivyo, siku nyingine jipange usimuache ulie nae kisa hana hela.Kweli nimeamini
Utafiti uliofanywa na Profesa wa Chuo Kikuu cha Oxford, Daniel Freeman, unaonesha Wanawake vichaa ni wengi kuliko wanaume.
SURE KABISAA HASWA MTOA MADA ATAKUWA ANA MENTAL PROBLEM
Ukiona kichaa amkekusanya nguo zako na kutoka nazo nduki wakati unaoga, na wewe ukaamua umkimbize... jitathmini... inawezekana kichaa ni weweMTOA MADA ANA UJAUZITO HALAFU UMEKIMBIWA NDIO MAANA NETWORK IMEPOTEA ANAANDIKA UGORO MTUPU
AhsanteKwahiyo na wewe jamaa yako si umwambie akubebee mkoba alafu muingie movie?au jamaa oyaoya?
Pole bana kama ipo ipo tu huwezi jua Mr. Right is on his way coming to you....ila muache kudharau wanaume wenu
. ndo nn sasa umefanya tamaa hizi utakuja kufaHello jf,jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka flani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentle man mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee man kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaid baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopak pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Ahsante sana kwa kuliona hiloYaani kama usingechangia ningeona kweli hii topiki ni pumba na mtoa mada ndo mkuu wa watoa pumba... SASA KWA KUCHANGIA KWAKO, IDADI YA PUMBA IMEONGEZEKA NA WEWE UMEKWALIFAI KUINGIA KWENYE LIST YA WATOA PUMBA MWAKA HUU
Sikubaliani na wewe.. Hujaelewa content ya mleta mada....Mkuu, najaribu kuwarekebisha hawa vijana wetu. Wanaanzisha mada za kipuuzi sana. JF ni jina kubwa sana. Hata juzi paschal mayala wakati anamuuliza swali Rais magufuli alisema kwamba yeye {mayala} ni mwanachama wa JF. Ina maana hata Rais anatambua mtandao huu wa JF. Sasa tukiendelea kuruhusu vijana kuandika "vapour" aka "pumba" tutakuwa hatulitendei haki jukwaa letu adhim la JF.
Mwanamalundi, umeona waliojiokotea mapwenti kwenye hii topiki wanavyokomenti? Huyu kaona awsubiri kwenye kona hapo baadaye, lakini kona yenyewe ni ile wakati ameshang'ara na watarudi tu....Hilo ni funzo ...ngoja nizidi ku hustle mtakuja wenyewe tu