Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
- Thread starter
- #61
Kwa hali niliyokuwa nayo baada ya kumuona kumsalimia ilikua ngumu sana nisingewezaMshukuru Mungu wa kwako yupo usikate tamaa, usimkimbie msalimie
Kwa hali niliyokuwa nayo baada ya kumuona kumsalimia ilikua ngumu sana nisingewezaMshukuru Mungu wa kwako yupo usikate tamaa, usimkimbie msalimie
Hello jf,
Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,
Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,
Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Ahahahahahahahahahah..ahsanteeePOLE SANA HALAFU HAPO UNA MIMBA YA MUME WA MTU NA KAKUKATAA LOH NADHANI ULIONA MVUA YA MOTO
Hakiliki kweli nimejifunzaKisicho liziki...............
Pole sana nadhan umejifunza kitu........
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
Hakiliki kweli nimejifunza
AsanteNilivyosoma nilipiga picha wakati unajichanganya na watu kutoka upes upes hahahaha....pole jamani!!!bt acha tamaa
hivi ungenyamaza tu unahisi ungekuwa umetenda dhambi sio kila kitu lazima uonge vingine waweza nyamaza kama unaona kwako havifai duuuuh walimwengu bhanaa taabuu kweliiwakati mwingine kumfariji mzinguaji kunakufanya na wewe mzinguaji pia.
ANA MIMBA YA MUME WA MTU HAPO ALIPO NA ALISHAMWAGWAUnataman kuzaa nn na ww mkuu...??
Co mbaya muombe MUNGU utampata wa maana zaid ya huyo........
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
Pole sana ila na nyie mmezidi kwa kuweka masharti kama ya IMT Mara oh u are not of ma type, ona sasa unavyoweweseka. Any way baada ya kuna hilo tukio umejifunza chochote?Hello jf,
Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,
Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,
Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
We nawe umeulizwa kwani?ANA MIMBA YA MUME WA MTU HAPO ALIPO NA ALISHAMWAGWA
ANA MIMBA YA MUME WA MTU HAPO ALIPO NA ALISHAMWAGWA
Itakua anajilaumu sanaKuna mmoja kama wewe alinizinguaga wakati huo nipo mbugila mbugila akanitosa nikakama mwingine nikaoa kabisa yeye mpk Leo anasugua gaga kwao na mambo mbele kwa mbele
Yeah nimejifunza sana tuPole sana ila na nyie mmezidi kwa kuweka masharti kama ya IMT Mara oh u are not of ma type, ona sasa unavyoweweseka. Any way baada ya kuna hilo tukio umejifunza chochote?
kilichokuuma ni nini? Kama ni neno 'MZINGUAJI' mbona Mleta mada mwenyewe kakiri kuwa yeye ni MZINGUAJI. Poleehivi ungenyamaza tu unahisi ungekuwa umetenda dhambi sio kila kitu lazima uonge vingine waweza nyamaza kama unaona kwako havifai duuuuh walimwengu bhanaa taabuu kwelii