NimekomaNdiyo ukome.
Kweli kisicho ridhiki hakilikiYote MaishaHuwez jua May B Sio Ridhiki Yako
Ridhiki Yako Ikifika Utaiona tuu
Hapo kwa Bill Gate utakuwa umekosea mfanoUlimbwaga kwa sababu za kiuchumi?
Kama Ulimbwaga kwa sababu hamkuwa compatible sioni sababu ya wewe kuumia hata angekuja kuwa Bill Gates
... beauty with no brain... private parts suffer mostHello jf,
Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,
Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,
Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Hatakama ni maigizo. Majibu wanayo wao. Lakini kutembea mmeshikana mikono sio kitu cha mtoto. Kwanza wanawake wengi wasio na michepuko wanakuwa na amani kwasabubu wanajua kama jamaa inamamichepuko lazima roho zipasukeMmh katika haya maisha jifunze kuappreciate tu, ila sio kutamani kuwa kama fulani.
Waweza ukawaona hivo ila maisha yao ni tofauti
Kweli sina mapenzi nae but nilishikwa na kawivu tu the way amechangeHuyu anaongozwa na tamaa tu , sio kwamba ana mapenzi na huyo jamaa.
Kweli sina mapenzi nae but nilishikwa na kawivu tu the way amechange
Machaguzi ya mchumba yakizidi sana utajikuta umeolewa na jini?Hello jf,
Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,
Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,
Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Mnataka kula vilivyopikwa, hamtaki kupika mle....Hello jf,
Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,
Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,
Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Ahahah bora hata uolewe na jini kuliko ukapatwaaaMachaguzi ya mchumba yakizidi sana utajikuta umeolewa na jini?
MmmhKuna mwenzako alinibwaga pia sasa hiv kazalishwa tuu namuona yupo yupo Tu Rafik zake wanasema jamaaa kamtelekezaa M