Niliahirisha uamuzi wangu wa kumtongoza baada ya kuniuliza nafanya kazi wapi

Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Unaishi kwa wasiwasi sana. Mbona swali la kawaida.
 
Ni swali muhimu tatizo kaliuliza haraka na moja kwa moja, angejizungusha akazuga kidogo,
 
Hilo swali huwa silipendi hata mimi,na mara zote huwa nadanganya kwa kutaja kazi ya hovyo zaidi, ndio mana niko singo, japo ni swali la msingi sana ambalo hata mimi huwa nauliza.

Swali hilo hata siku unaenda kuposa sehemu pia utaulizwa na baba mkwe na pengine mama mkwe.
 
.

Screenshot_20210727-080146_Gallery.jpg
 
Mleta mada umeshapewa darasa la kutosha kabisa, kwamba swali uliloulizwa si tatizo, ni swali jema, mdada wa Mama Ntilie inaonekana anajitambua na alikuwa sahihi kukuliza swali, inaonekana tatizo ni wewe, wasiwasi na mashaka yako tu, na pia ongeza kujiamini na si kila anayeuliza maswali ana mbaya. Sasa, rudi kwa dada mtajie kazi yako (Kama ni kweli ama si kweli) na kisha uendelee na mchakato uliotaka kuuanzisha.

Na ukimaliza kuonana na dada ba kitakachojiri urudi hapa uje kuleta mrejesho
 
Mie nishawahi kupitia changamoto iyo,ila ninachokifanya nikimoja tu akiniuliza nataja kazi ambayo ni ya hali chini,kama yupo tayari basi hatoangalia kazi uliyomtajia
 
I wonder why wanawake wengi sana hapa mjini kitu Cha muhimu Zaid kwao kukuuliza ni unafanya wapi kaz, au una Kaz gani.
Kuna dada mmoja mwanafunz wa chuo kimoja hapa dar tumekutana TU mtandaoni baada ya kuniuliza jina swali la pili unafanya kazi wapi? Na mimi kwa Unaa nikamwambia ni Manager katka kampuni X hapa mjini kumbe ni Kapuku TU niliye mtaani. Amerizika na tunachat Kila cku fresh Tu japo anakomaa tuonane live kabisa anione sa sijui ndo Anataka ajirizishe zaidi, I don't know.
 
Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.

Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.

Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.

Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
alikuwa kabila gani, sio manka kweli huyo? ulifeli wapi mzee, ungemwambia nafanya kazi TRA, au BOT.
 
Amekuuliza swali la msingi sana na nia yake wala sio mbaya kama unavyofikiria. Kama ameona unaonyesha nia kwake kwa nini asiulize habari zako ili aweze kupata information kamili kwa ajili ya kufanya maamuzi.

Kwa ufupi wewe ndio umejistukia na ungemweleza tu kazi yako ili afanye maamuzi sahihi kwa wakati sahihi

Wakati niko kijana "barobaro" niliwahi kukutana na dada mmoja mzuri sana mwanafunzi wa chuo kikuu, tulizoeana nikamtongoza nae akaniuliza unafanya kazi gani (nilikuwa benki) nikamdanganya mimi ni fundi majenerata (nilijishusha nimuone).

Yule dada alinikubali ingawa sikumuoa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sometimes ukiwa mkweli au ukijishusha unaweza kupata mtu sahihi
Point hii
 
Amekuuliza swali la msingi sana na nia yake wala sio mbaya kama unavyofikiria. Kama ameona unaonyesha nia kwake kwa nini asiulize habari zako ili aweze kupata information kamili kwa ajili ya kufanya maamuzi.

Kwa ufupi wewe ndio umejistukia na ungemweleza tu kazi yako ili afanye maamuzi sahihi kwa wakati sahihi

Wakati niko kijana "barobaro" niliwahi kukutana na dada mmoja mzuri sana mwanafunzi wa chuo kikuu, tulizoeana nikamtongoza nae akaniuliza unafanya kazi gani (nilikuwa benki) nikamdanganya mimi ni fundi majenerata (nilijishusha nimuone).

Yule dada alinikubali ingawa sikumuoa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sometimes ukiwa mkweli au ukijishusha unaweza kupata mtu sahihi
Kwa hiyo sisi mafundi jenereta za benki tunakuwepo kwenye kundi gani? Si tunafanya kazi benki pia?
 
Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.

Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.

Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.

Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
Huyo mwanamke anajielewa...kukuuliza kuwa unafanya kazi gani lilikuwa Jambo zuri...maana kazi ni kipimo Cha utu...angedharau kazi yako hapo ulikuwa na haki ya kuacha kumtongoza....hata Adam alipewa bustani na MUNGU ailime kabla ya Hawa kutuchafulia Hali ya hewa
 
Back
Top Bottom