King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Dah. We jamaa. Unakatisha utamu. Akina dada wanahitaji sana security ya maisha
Mtoa mada nadhani hajui hilo.
Dah. We jamaa. Unakatisha utamu. Akina dada wanahitaji sana security ya maisha
Ungemwambia kazi yako ya kuokota chupaKuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.
Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.
Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
Swali dogo Sana halafu jepesi, ye angesema anauza magazeti tuYuko sahihi kabisa kukuuliza hilo swali wewe ndiyo hujitambui mbona ni swali la kawaida sana?
Alijua umemdanganya kutokana na muonekano wako, wanawake waki Tanzania Wana msaminisha ubora wa mwaume kwa muonekano wa mavazi.Amekuuliza swali la msingi sana na nia yake wala sio mbaya kama unavyofikiria. Kama ameona unaonyesha nia kwake kwa nini asiulize habari zako ili aweze kupata information kamili kwa ajili ya kufanya maamuzi.
Kwa ufupi wewe ndio umejistukia na ungemweleza tu kazi yako ili afanye maamuzi sahihi kwa wakati sahihi
Wakati niko kijana "barobaro" niliwahi kukutana na dada mmoja mzuri sana mwanafunzi wa chuo kikuu, tulizoeana nikamtongoza nae akaniuliza unafanya kazi gani (nilikuwa benki) nikamdanganya mimi ni fundi majenerata (nilijishusha nimuone).
Yule dada alinikubali ingawa sikumuoa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sometimes ukiwa mkweli au ukijishusha unaweza kupata mtu sahihi
Kumradhi fundiHapo mafundi utuombe radhi maana pesa yetu inatoka at once na sio kusubiri mwisho wa mwezi mzee,tafadhali sana
Yaani bodaboda halafu unamaringo hivyo je ungekuwa HR
Nilijua kitakachofuatia hapo ni baby nikuambie kitu, kwahiyo mfano mimi nikiwa jobless ndo hatonipenda au GorgeousmimiMbona ni jambo la kawaida kuuliza mtu anafanya kazi wapi?unampa hata muhusika uhalisia wako ajue wewe ni mtu wa caliber gani,je kama wewe ni jobless au hufanyi kazi halali?
Naona. Maana kaleta stori kwa ufupi sanaMtoa mada nadhani hajui hilo.
Ungemwambia kazi yako halafu uone mapokeo yake. Hayo yangekupa picha ya anachomaanisha.Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.
Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.
Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
Wewe mwenyewe kama ikitokea ukapata mtoto wa kike, binti yako akiletewa barua, swali la kwanza kumuuliza "mumeo mtarajiwa anafanya kazi wapi ".Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.
Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.
Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
🤣😂😂😂😂😂😂 Wanaume wachovu utawajua tu, wachungu kama ndimu.Una umri gani? Mbona reasoning yako ya kitoto hivi?..
Ulitaka akuulize nini? Kama kakuhisi jambazi? Asiulize kuwa sure?
Unahisi atakuona una hela? Kwa kula mama ntilie? Seriously?
Eti mtu humjui lazima umuanze wewe unaitwa nani, unaishi wapi?Inawezekana ukawa unafanya kazi benki na yeye anahitaji msaada wa mtu wa benki kufungua akaunti, au sehemu nyingine yoyote anaweza kufanya connection na maisha yake.
Hiyo ni "conversation starter".
Sasa umekimbia conversation starter?
Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.
Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.
Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.