Niliahirisha uamuzi wangu wa kumtongoza baada ya kuniuliza nafanya kazi wapi

Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.

Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.

Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.

Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
Ungemwambia kazi yako ya kuokota chupa
 
Amekuuliza swali la msingi sana na nia yake wala sio mbaya kama unavyofikiria. Kama ameona unaonyesha nia kwake kwa nini asiulize habari zako ili aweze kupata information kamili kwa ajili ya kufanya maamuzi.

Kwa ufupi wewe ndio umejistukia na ungemweleza tu kazi yako ili afanye maamuzi sahihi kwa wakati sahihi

Wakati niko kijana "barobaro" niliwahi kukutana na dada mmoja mzuri sana mwanafunzi wa chuo kikuu, tulizoeana nikamtongoza nae akaniuliza unafanya kazi gani (nilikuwa benki) nikamdanganya mimi ni fundi majenerata (nilijishusha nimuone).

Yule dada alinikubali ingawa sikumuoa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sometimes ukiwa mkweli au ukijishusha unaweza kupata mtu sahihi
Alijua umemdanganya kutokana na muonekano wako, wanawake waki Tanzania Wana msaminisha ubora wa mwaume kwa muonekano wa mavazi.
 
Mbona ni jambo la kawaida kuuliza mtu anafanya kazi wapi?unampa hata muhusika uhalisia wako ajue wewe ni mtu wa caliber gani,je kama wewe ni jobless au hufanyi kazi halali?
Nilijua kitakachofuatia hapo ni baby nikuambie kitu, kwahiyo mfano mimi nikiwa jobless ndo hatonipenda au Gorgeousmimi
 
Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.

Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.

Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.

Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
Ungemwambia kazi yako halafu uone mapokeo yake. Hayo yangekupa picha ya anachomaanisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.

Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.

Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.

Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
Wewe mwenyewe kama ikitokea ukapata mtoto wa kike, binti yako akiletewa barua, swali la kwanza kumuuliza "mumeo mtarajiwa anafanya kazi wapi ".

Maswali mepesi sana, sasa bora huyo kuna wengine wanaanza kirungu cha laki na msululu wa matatizo.
 
Una umri gani? Mbona reasoning yako ya kitoto hivi?..

Ulitaka akuulize nini? Kama kakuhisi jambazi? Asiulize kuwa sure?

Unahisi atakuona una hela? Kwa kula mama ntilie? Seriously?
🤣😂😂😂😂😂😂 Wanaume wachovu utawajua tu, wachungu kama ndimu.
 
Inawezekana ukawa unafanya kazi benki na yeye anahitaji msaada wa mtu wa benki kufungua akaunti, au sehemu nyingine yoyote anaweza kufanya connection na maisha yake.

Hiyo ni "conversation starter".

Sasa umekimbia conversation starter?
Eti mtu humjui lazima umuanze wewe unaitwa nani, unaishi wapi?
Umeoa ??
Unajishughulisha na nini?
Kwenu wapi na wewe mpo wangapi??
Wa ngapi kwenu?
Unataka urafiki wa kudumu au??
 
Hahahahahaha ama kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!!! Kwa kuulizwa unafanya kazi wapi basi akili yako ikahitimisha kwamba anataka kukupiga mzinga!!!
😂😂😂😂😂
Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.

Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.

Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.

Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
 
Wanawake walio wengi huangukia kwenye penzi la mwanaume anayejiamini. Jiamini kwasababu hata hiyo kazi ya boda boda inakuletea kipato na inaweza kusaidia ukaendesha familia yako kama ilivyo kwa boda boda wengi huku mtaani.

Kuna kijana mmoja yupo Majengo (Arusha) kazi yake ni boda boda lakini mke wake ni Engineer wa masuala ya ujenzi.
 
Back
Top Bottom