Niko njiani kuelea Eritrea

Niko njiani kuelea Eritrea

Kama ni bundle jamaa wa Eritrea wamewekewa unlimited bundle....!
 
aaah! Mbwembwe tu, lakn si unakumbuka naww ni miongon mwa maadui zake? Alisema atadili nao wote hahahaaa!
Mkuu vp kumbatio
Ha ha ha hanipati kumbatio linakaribia kuzaa Matunda mema nalo Lina wivu balaa
 
Unasema wakenya hawana haja ya viza???tayari tumeshawakosa,hawa jirani zetu wanavyopenda naniliu ni balaa,si mnakumbuka kule ROMBO??
 
yani hiyo sample hapo uliyoweka mkuu PAGAN ndio itufanye tuamini kua population ya zaidi ya wanawake milioni 3 wako ivo ivo ??
 
Jamani Afrika yetu ina watoto wazuri. Huku Rwanda,Tanzania; bado Ethiopia, Eritrea, Cape Verde, Seychelles, Mauritius, South Africa, Comoro, Djibouti to mention few
 
Hii hali hata Tz ipo ila haijatangazwa maana idadi yetu wanaume hata tugigawana mabinti watatu wengine watabaki.
 
12631450_1052252264838767_7470898551197135766_n.jpg
Wale wanaume wa Eritrea wanaokimbia nchi yao wanamaana gani
 
Wangeondoa visa sasa nami sahivi ningekua namtafuta watatu, imebidi kufanya mchakato wa visa.
Screenshot_2016-01-27-11-12-41_com.whatsapp_1453882403253.jpg
 
Kuhusu dini, hasa ukristo inakuwaje huko eritrea
Dini yenye Kuruhusu kuoa zaidi ya mke mmoja ni UISLAMU PEKE YAKE.

Sasa sijui kondoo watafanyaje huko!
Itabidi wahame au wasilimu.

Wakiambiwa UISLAMU ni Solution ya kila kitu wanakuwa wabishi.
Ona sasa kasheshe hii.
 
Back
Top Bottom