Niko njiani kuelea Eritrea

Niko njiani kuelea Eritrea

Kwani unaenda kuishi huko, suala la msingi ni kuchukua warembo na kugeuza home Tz.
Kwani wamesema warembo wao wachukuliwe au ni sheria (kwanza nasikia bado ni muswada) kuwa wanaume wa Eritrea ni lazima waoe wake wawili?
 
Hapa sasa ndo napomkumbuka mkuu DECEPTION na hoja zake, maana starehe ya sisi wabongo ni migegeduano ambayo inaongeza idadi ya vizazi kitu kinachowakela mataifa ya magharibi, Tz tutasubiri sana na hofu ya Uwepo wa ngoma, safe journey PAGAN katika kuungana na Idea za DECEPTION.
 
kwann wanapenda kuondoka eritrea?????
Ukishafika Eritrea utaelewa. Safari yake ndefu kweli ndege ni hadi Misri ndo unapata ya kuunganisha. Ingawa nasikia Ethiopia Airline nao wapo njiani kuanza kwenda huko.
 
mtu angeweka tuone namna wanavyotumia lips zao kuongea .. ukute wanasauti nyororo na maneno yanatooka kwa upole ,.. nikae kimya wanabahati sikuwa mwanaume

Technology ilipofikia ukitaka kuwa mwanaume inawezekana ni wewe tu kuamua
 
Sasa mkienda huko na sisi huku je.........?....
Nilijitabiria kuwa lazima kuna mwanamke atauliza swali kama hili, maana mnaonekana kama kutupwa sana na wanaume wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom