Niko njiani kuelea Eritrea

Niko njiani kuelea Eritrea

mistaki kwenda,...nataka niongeze knowledge2 mkuuuuuu

Kule nchi bado haijatulia ndo maana watu wa Eritrea wanakimbia sana, maana amani bado hajawa stable, na vile visichana vyao vina wivu noma, halafu kuchapiwa ni sehemu ya maisha. Kuna Mbongo mmoja yupo pale ana zaidi ya miaka 20, ukifika Asmara ni mtu maarufu sana.
 
Kule nchi bado haijatulia ndo maana watu wa Eritrea wanakimbia sana, maana amani bado hajawa stable, na vile visichana vyao vina wivu noma, halafu kuchapiwa ni sehemu ya maisha. Kuna Mbongo mmoja yupo pale ana zaidi ya miaka 20, ukifika Asmara ni mtu maarufu sana.



Hapo kwenye red, Haiitaji kuwa jiniazi kujua kwa nini jamaa hataki kuondoka hapo.
 
Hapo kwenye red, sasa nimegundua kwanini jamaa hataki kuondoka hapo.
Anadai hana cha kuja kufanya Bongo kwa sababu maisha yake yote ameyawekeza pale na amekubaliana na hali yamaisha pale
 
images


.....I must go! Eritrea!
 
Alikupenda sana may be ha ha ha pole sipat picha dili zilivuokuwa zinaruka hewan
aaah! Mbwembwe tu, lakn si unakumbuka naww ni miongon mwa maadui zake? Alisema atadili nao wote hahahaaa!
Mkuu vp kumbatio
 
Nimeishi eritrea kama miezi 3. Ni nchi ambayo serikali ina nguvu sana katika maisha binafsi ya watu hata wageni. Jiepushe na kujadili au kuuliza siasa sa ndani. Usalama wa taifa wana nguvu sana na wanafuatlia hata maisha binafsi. Ukipata msichana akija hotelini kwako ni lazima awe na kitambulisho na aandikishe reception na kitambulisho kinachukuliwa copy.
Uwe na barua ya mwaliko unaweza kamatwa airport na kurudishwa ulikotoka. Tofauti ni kwamba raia wa kenya hawahitaji visa
 
Kuna watanzania wanafanya kazi katika mgodi wa dhahabu nilikutakana nao pale Asmara.
Chakula pia ni tatizo maana wanatumia sana hinjera kama waethiopia
 
Kuna tatizo pia kupata sim card. Inabidi uombe serikalini. Na wanaweza kataa.
 
Back
Top Bottom