Niko njiani kuelea Eritrea

Niko njiani kuelea Eritrea

Polygamy-in-Africa.jpg
 
Hiyo nchi hutaweza kuishi, nimepita hapo. Unachoweza 'kuokoto' mtoto mmoja na kurudi nae Bongo, maana wanapenda kweli kuondoka nchini humo, lakini hawana namna tu.
Wala usithubutu maana wanaume wenyewe wanajaribu kukimbia nchi lakini wakifika border wanakula shaba, wengi wanakimbia kwa kukataa kujiunga na national service lakini hawafanikiwi that means wanaume wengi wamepoteza uhai
 
Wala usithubutu maana wanaume wenyewe wanajaribu kukimbia nchi lakini wakifika border wanakula shaba, wengi wanakimbia kwa kukataa kujiunga na national service lakini hawafanikiwi that means wanaume wengi wamepoteza uhai
Wazinifu wanashangilia utafkiri wana uwezo wa kwenda Huko.
Watu nauliza za dldl zinawapa Tabu halafu wanapiga hesabu ya kwenda kuoa wanawake wawili.

Ashk na Uraru ni kitu kibaya sana.
Mate yanawatoka halafu uwezo hawana.

Si ndo maana Maradhi ya zinaa Bongo hayaishi.
 
mimi nitaishia somalia...kuna mitoto pale ya laana,viuno utadhani vinataka kuwaangusha na ipo single..
mujrid na barre wao wanazidi kutoana roho..hawana muda wa kuosha rungu.
 
Wazinifu wanashangilia utafkiri wana uwezo wa kwenda Huko.
Watu nauliza za dldl zinawapa Tabu halafu wanapiga hesabu ya kwenda kuoa wanawake wawili.

Ashk na Uraru ni kitu kibaya sana.
Mate yanawatoka halafu uwezo hawana.

Si ndo maana Maradhi ya zinaa Bongo hayaishi.
Hilo nalo nenoooo, mlo shida ni kuwaza uzinzi tu, bora umeliona
 
Asalamaleko waungwana! Hii safari ya Eritrea imezua mambo!
 
hivi nauli hadi ethiopia ni tzs ngapi???? nataka nkafanye tour on this summer.
 
Me nimeshafika huko nimeoa nitarudi kesho nitafikia kenya!!
 
Kule nchi bado haijatulia ndo maana watu wa Eritrea wanakimbia sana, maana amani bado hajawa stable, na vile visichana vyao vina wivu noma, halafu kuchapiwa ni sehemu ya maisha. Kuna Mbongo mmoja yupo pale ana zaidi ya miaka 20, ukifika Asmara ni mtu maarufu sana.
Namfahamu ndo aliyetutafutia sehemu ya kupiga pombe
 
Back
Top Bottom