Free ideas, post:
8960426, member: 149677"]
Mi sitetei bali nasema ukweli juuu ya hofu isiyokuwa ya msingi kwa kitu ambacho mi cha kawaida.yan ni sawa na leo hii mtu aibuke na kuanza kupinga kitu ambacho hakina tafsiri ienezwayo bali ni uoga na hofu ya kutokujiamini
Che mittoga, Saidi.
Hofu...!
Nani aliyekuambia anawaogopa Freemasoni ?
Anawaogopa kwa ajiri gani ?
Kama wanaogopwa mbona wamesajiriwa na Serikari ?
Serikali inasajiri makampuni yanayo ogofya watu ?
Freemasoni ni tasisi isiyo ya kiserikali kama taasisi nyingine tu (NGO)
Wapo kuganja njaa kama wagangaji wengine.
Wakuogopwa ni Mungu peke yake ambaye hata Serikali inamuheshimu na
kumuogopa.
Angalia maneno yaliyoko katika Wimbo wa Taifa.
Angalia Sala ya Kufungua vikao vya Bunge.
Angalia viapo vya viongozi wanapo apishwa kutumikia nchi nini wanatamka.
Freemasoni ndio nani watu wawahofie.
Kwani wao wanatisha watu ?
Labda watu dhaifu ndio wanao wagopa, wanaoogopa hadi kivuli chao.
Haya lete habari zaidi za hao Free masoni.
Ni kwanini wanajifichaficha ktk shughuli zao ?
Mbona hazifanywi hadhalani watu wazione ?
Wanaogopa nini ?
Hofu yao ninini hasa ?
Ukienda ofisini kwao pale Feri Posta wanababaika tu.
Hawasema kazi zao ni zipi, Hawakukaribishi ndani ofisini wanakimbiakimbia tu.
Sijaona taasisi dhaifu kama hao Freemasoni.
Wanaigopa nini hasa?
Si nasikiaga wana nguvu sana na pesa wanazo nyingi.
Hebu tujuze zaidi Mkuu
Au kama kuna Freemasoni humu atueleze, nini hofu yao hawa Freemasoni ?
Taasisi zote ninazozijua duniani kazi zao zinafanywa kwa uwazi na bayana.
Kwanini hawa Wanzetu Freemasoni wanafanya kazi zao kwa kujifichaficha ?
Ukiwatembelea Ofisini kwao hawatoi ushirikiano kabisa kabisa.
Naomba utueleza ukweli hapa na sio nawewe unarukaruka tu kama wao.
Iyo avatar yako inatafsiri nini mkuu???