Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,508
- 2,058
- Thread starter
- #161
Nini tofauti ya freemason na skull and bone wajameni?
Majina
Nini tofauti ya freemason na skull and bone wajameni?
Kwan kutoa kafara ni kielelzo cha dini??,dini gani inatoa kafara kwa sasa???,
Ibada unajua maana yake,unajua maana haslisi ya ibada??,
Mbona unam-judge kwamba yeye yuko huko, una ushahidi? Halafu utamuombaje mtu akushawishi jambo? Sijawahi kusikia.
Kukubali kwangu kwamba mi ni masonic ama la!,haita kusaidia zaidi ya kukupa STRESS na kunichukia,bila kujua kwa nini!
Ndo mana nami nikakuuliza ili nijue uelewa wako kabla sijakujib
Ibada zinafanywa na watu wenye dini, hata kafara pia. Unaweza ukaniambia ni watu gani wengine wanaoweza kufanya Ibada isiyomaanisha dini na kafara pia? Ibada iamaanisha kuabudu, na kuabudu kunamaanisha uwepo wa Mungu au miungu. Similary kafara, kwa sababu kafara ni mojawpo ya ibada. Sasa kutoka hapa, unaweza ukarudi na kujibu swali langu?
Mtoa mada anachekesha sana!
Sio kwamba we ndo unachekesha??,karibu sana mkuu Eiyer
Unajua kuwa hiyo kauli yako inaonehs kuwa huna hakika na ulichokisema?
We ndo utakuwa huna uhakika na ukisemacho,maana jinsi ulivoingia inaonesha kama unakimbizwa vile ndo mana nikakutuliza na kukukaribisha ktika uzi,haya nambie unalipi leo
Nilichokuuliza kinahusiana na kauli yako
Hujakijibu unataka tuzungumze mengine
Jibu kwanza!
Tatizo hujasema unauliza nini,bahati mbaya kama sijakuelewa mkuu haya uliza ujibiwe
Unajua kuwa hiyo kauli yako inaonehs kuwa huna hakika na ulichokisema?
Nilikuuliza hivi;
Haya majibu tafadhali!
Kauli gani maana nimesema kauli nyingi em nenda kwenye point
i demand further explanation please....True lies....
Kushindwa tu kujua umesema nini kwenye mada yako mwenyewe muda mfupi ulioisha ni uthibitisho wa namna ulivyo goigoi,utawezaje kuyajua mambo ya miaka zaidi ya 2000 iliyopita?
Halafu unadai eti ni kwa mujibu wa akili yako mwenyewe,dogo ndo maana nikakuambia unachekesha sana!
Umeleta mada hapa uykijinadi kuwa umeitoa akilini mwako bila hata kukopi popote pale,hii ina maana kuwa ulitafakari na kama uliweza kutafakari uliyoandika usingeshindwa kung'amua nilichokuwa nakuuliza kwakuwa hayo ni majadiliano ya mimi na wewe na wala hayahusishi mada nzima na post zakeUlitka nirudie uzi mzima kukuandikia wewe??
Majibu gani ya kiujumla?,,ndo mana nikakuuliza sehem gani wataka ueleweshwe.badla yake umekuja na kasoro ya kuijumla.
Wapi nimesema haya?kumbe ulitaka niingie kujibu tofauti na unavodhan?.,
Nimesema yasijulikane?Kwa nn mambo ya miaka 2000 iliyopita yasijulikane??
Kutokuelewa kwako nilichoandika ndiko kumekupelekea kuja na kusema hii kauli yako ambayo wala haihusiki na nilichokisema,kuna uzi niliona unamtetea sana yesu,kwan ye wa mwaka gani??
Sina haja ya kukujibu kwakuwa tayari nilichokujibu kinakutosha!.,na habr yake umeijuaje??,majibi please