Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Come on,usikimbilie kukopy nakupaste ,ni moja ya vitu nisivyovipenda.em tumia akili kidogo mkuu.ukiniita vyovyote haitanipunguzia chochote.jenga hoja acha kukopy

Hata kupata sehemu ya kucopy na namna ya kupaste tunatumia akili,Mwanasayansi wa ukweli hutoa maelezo akijiamini kujibu kila anachoulizwa kwa kuweka ushahidi inapobidi, Pseudoscientist kama wewe hujiita mwanasayansi ambaye akiulizwa swali hawezi kujibu kwa kuogopa kunasa kwenye maelezo yake, sana sana ku buy time naye anauliza swali. kujua tu kwamba wewe ni pseudoscientist ni Akili.
Sikuiti Pseudoscientist ili nikupunguzie kitu,lah ni kutaka wale wasomao na wanaokulaumu kwa kutojibu maswali yao wajue wewe ni mtu wa aina hiyo na watu wa aina hiyo huwa hawawezi kujibu maswali,isipokuwa wanaweza kuuliza maswali tu.
 

Hata kupata sehemu ya kucopy na namna ya kupaste tunatumia akili,Mwanasayansi wa ukweli hutoa maelezo akijiamini kujibu kila anachoulizwa kwa kuweka ushahidi inapobidi, Pseudoscientist kama wewe hujiita mwanasayansi ambaye akiulizwa swali hawezi kujibu kwa kuogopa kunasa kwenye maelezo yake, sana sana ku buy time naye anauliza swali. kujua tu kwamba wewe ni pseudoscientist ni Akili.
Sikuiti Pseudoscientist ili nikupunguzie kitu,lah ni kutaka wale wasomao na wanaokulaumu kwa kutojibu maswali yao wajue wewe ni mtu wa aina hiyo na watu wa aina hiyo huwa hawawezi kujibu maswali,isipokuwa wanaweza kuuliza maswali tu.

Unanihukumu sivyo,mi sijakwepa swali.Mapungufu yako unanihamishia mimi???
 
Kwa nini unafikiri ujuzi kwamba Mungu ndiye aliyeumba Ulimwengu na vyote vijazavyo na ndiye archtecture , designer,Engineer, Artist, na mathematician aliyeweka Constant zote ni kutokana na UOGA ? UOGA wa jambo gani ? natishwa na NANI ? kweli kauli kama hizi hazitokani na kukariri ?

Mwanadam pale anapofikiri/anapowaza kushindwa ndo anapomuumba mungu.,nilishasema katika uz flan kwamba HAKUNA USHAHIDI WA KUTOSHA KUONESHA UWEPO WA MUNGU,NA MIMI NAJUA HAYUPO,so kama we unaamini yupo lete ushahidi kithibitisha hapa

Hujielewi, unapimaje kwamba ushahidi kuhusu kitu fulani ni wa kutosha au lah ? unahitaji aina gani ya ushahidi ? huwezi kujibu swali hili kama ilivyokawaida yako,japo nina hakika hujielewi.
Angalia hoja uliyo quote hapo juu ? umezungumzia kuhusu Uoga na unazungumzia mara nyingi,umeulizwa Uoga utokane na nini,na Uoga uwe ni kwa jambo gani ? badala ya kujibu kama ulivyoulizwa umekuja na kushusha kariri zako, Pseudoscientist hujielewi tu...

Ungejielewa usingekuwa unauliza maswali na kutaka ujibiwe kama unavotaka.huku hutaki kusema unachodhan n sahihi.we ndo hujielewi na hujui kama hujielewi.,waweza niita vyovyote lakini haibadilishi ukwel

Unanihukumu sivyo,mi sijakwepa swali.Mapungufu yako unanihamishia mimi???

JIBU maswali kwenye rejea nilizokuwekea.
 
Mkanganyiko na sio kidogo Mkuu, ni watu wengi ikiwemo hata mimi kwa kipindi kirefu niliamini kwamba Lucifer ina muwakilisha IBILISI, Lakini baada ya kupitia maandiko mbalimbali na maelezo mengi ya namna kuisoma Biblia na Kuelewa ndiyo nilipoweza nami kupata ufahamu wa kwamba kumbe ni makosa ya kifasiri tu,Chanzo cha Mkanganyiko ni maandiko yaliyomo kwenye Kitabu cha Isaya 14:12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa! (KJV)

Kweli Ibilisi ndiye Nyota ya asubuhi ?

Tukiyachunguza maandiko vizuri tutaona kwenye ufunuo 22:16 ''Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi''
Hivyo Bwana Yesu Mwenyewe alijitambulisha kwamba yeye ndiye Nyota yenye Kung'aa ya asubuhi.

Yapo maandiko mengine ambayo yanathibitisha kwamba Yesu Kristo ndiye Nyota ya asubuhi.

2 Petro 1:19 19 Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.

Ufunuo wa Yohana 2:28 Nami nitampa ile nyota ya asubuhi.

Ni wazi kwamba Nyota ya asubuhi ni sifa ambayo ni ya kipekee kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kamwe haiwezi kuwa ni sifa ya Shetani/Ibilisi.


Kiini cha mkanganyiko.
Mkanganyiko umetokana na maelezo yanayopatikana katika tafsiri ya Biblia ya KJV Isaya 14:12 (Hasa katika Kiingereza ambapo limetumike neno LUCIFER) kama ilivyoelezwa hapo juu, Neno Lucifer limetumika kama utambulisho wa nyota ya asubuhi,ikiwa ni katika maelezo ambayo ukiyasoma kwa haraka unaweza fikiri yanamzungumzia IBILISI na kumpa sifa ya Nyota ya asubuhi. Hasa ukisoma Isaya14:12 kama ulivyo.

Isaya 14:12-15

12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
13 Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.

Ukiisoma maandiko haya kwa makini utagundua si kweli kwamba shetani anapewa sifa na ukuu wa kwamba yeye ni Nyota ya Asubuhi bali ni lugha ya ''Kebehi'' dhidi ya majikwezo ya IBILISI,na kujipa sifa kwamba yeye ni LUCIFER (Nyota ya Asubuhi) na inaonyesha jinsi ambavyo kujikweza kwake kumedhiriwa hadi kushushwa chini mpaka kuzimu,wakati alijinasibu kuwa yeye atapaa kupita vipimo vya mawingu na kuwa sawa na aliye juu!
Ukitambua kwamba Lugha ilikuwa si kumsifia Ibilisi bali kubeza kujikweza kwake na kujipa sifa asizokuwa nazo utagundua kwamba bado matumizi ya neno LUCIFER kwamba ni Ibilisi yanakinzana na ukweli, kwamba alijiita LUCIFER kujikweza tu,lakini kiukweli hana sifa hizo hata chembe.
Mkuu kwanza asante mkuu kwa kuniweka sawa hapa.
Big up.
I
la mkuu utukufu aliokuwa nao Shetani alipokuwa mbinguni ndio kiini cha yeye kuitwa nyota ya Asubuhi lakini baadaye alihasi.Lucifer ni Jina kamili La IBILISI?ShEitwainnnnnnnnnn

kwa sasa Sifa hiyo imekuwepo kwa Yesu.
ukisoma vitabu vingine kama Book of enoch unaweza kuona kuwa Yesu Na Shetani(Lucifer) wanaeleza kuwa walikuwa wakaka wawili kwenye rank ya JUU ya uungu. ambapo Lucifer alikuwa mzuri sana lakini akafanya uhasi. Na kuna baadhi ya nakala zinasema Shetani(kwa jina la Lucifer) aliona wivu kuona mungu alipomshirikisha Yesu katika uumbaji wa binadamu.na hakutaka kuwa chini ya mamlaka ya Yesu. na kutokana na kitendo hicho kuna malaika walishirikiana nae katika kuonyesha kujali(Sympathy)na kuungana katika uhasi dhidi ya Mungu.

kuna baadhi ya vitabu(sio bibilia) vinamtaja yesu kwa jina hili:
St. Michael the Archangel, ambapo kwa kiswahili wengi wanamjua kwa jina la malaika Mikael.
hapa Lucifer anaelezewa;
kupitia UFUNUO 9: 1-11, na
Luka 10:18 ;18 Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.19 Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
 
asante mkuu kwa kuniweka sawa hapa.Big up

Ahsante Mkuu, ni vema tuwe tunajipa nafasi kuyajua haya Muhimu yanayotuhusu ili tujihami vilivyo kupambana na Ibilisi na malaika zake, ni kweli Lucifer limekuwa likitumiwa na watu wengi sana wakimaanisha SHETANI/IBILISI,ajabu ni kwamba Neno Lucifer limeandikwa mara Moja tu ndani ya Biblia, kwenye Isaya 14:12. KJV ambapo limehusishwa na SHETANI.
 
Mkuu hawa jamaa hutoa kafara hata binadamu mkuu! Unaukumbuka ushuhuda uliotolewa na yule mchungaji baada ya Kanumba kufariki? Pia nina ushuda wa binti aliyekuwa akituumikia Freemason kwa kipindi kirefu? Kama unatumia whtsap nipe namba umsikilize huyu afu uniambie kwanini unadai freemason hawahusiki na utoaji kafara wa binadamu je nikweli

Hahahahahaaa! Mkuu post yangu umeifasiri literaly!
Naamini fremansory wanatoa kafara za watu!
In short fremanson ni wachawi kama wachawi wengine tu (wanga) tofauti yao ni kwamba fremanson wamemodify kidogo!
 
Hahahahahaaa! Mkuu post yangu umeifasiri literaly!
Naamini fremansory wanatoa kafara za watu!
In short fremanson ni wachawi kama wachawi wengine tu (wanga) tofauti yao ni kwamba fremanson wamemodify kidogo!

Thibitisha
 
Ninaposema nimetumia akili yangu ninamaana nile nnachofikiria mimi(mimi kama mimi),maana yake kwamba haya mawazo ni huru sijakopy kilichowahi kusemwa mahala ama maandishi haya sio ya kukopy na kupaste.ni jinsi nionavyo mimi.

Sawa mkuu, kulingana na Utangulizi wako katika mada umeainisha ya kuwa hukuhitaji REFERENCE/REJEA yoyote, sasa mkuu bado sielewi pale uliposema

"hakuna KITABU cha mason kilichosema wazi hakuna Mungu".

Wazo hili ni dhahiri linatokana na maandiko ya Mason, sasa wazo lako katika point hiyo ni lipi? ili kuleta maana halisi ya research yako isiyohitaji rejea ya aina yoyote.
 
Nikikwambia hakuna Freemason East Africa utaamini??
Tutaamini je uwongo?
Hakuna kafara ya Watu inayotolewa na Masonic,
Mkuu kule kama jeshini tu! Ukiwa kuruta kazi yako lindo but ukiwa na manyota mbona sheria nyingi hazitokufunga!!!
na wala KANUMBA hakuwa masons .usipagawe na stor za vijiweni
Hiyo sina uhakika nayo hadi sasa! Mwenye uhakika na athibitishe!
 
Free Mason ama wajenzi huru,ni jamiii ama kikundi ambacho kina misingi toka zaman sana enzi za mfalme solomon.kwa jinsi nnavojua mimi kilianzaa kama umoja wa wajenzi waliokuwa maarufu sana wakati ule hasa katika mambo.ya ramani na usanifu majengo,kikundi hiki kilikuwa namisingi yake mashariki yakati.wakati kinaanza hawakuwa na nia yoyote mbaya kama inavyosemekana sasa.


Mkuu Free ideas, hogera. Ila nadhani badala ya kuwataabisha watu kuwa UNATUMIA KICHWA BINAFSI BILA REJEA KUANDIKA YOTE HAYO, NADHANI HUTAPUNGUZA UTAMU WA SIMULIZI ZAKO KAMA UKITUWEKEA TUKASOMA MAJIBU YA FREEMASON WENYEWE. MFANO NI HUU HAPA CHINI;

".....Sometimes we see a question and we do not want to answer it - not because the answer is secret, but because the answer is complicated. This is such a question…

King Solomon was, according to the Hebrew Bible, a King of Israel. Other religions describe him as a prophet, and accepted history defines him as the last man to rule as King before his kingdom was split into the Kingdoms of Israel and Judah. He appears in scripture often, and under several names, including Solomon, Jedidiah, and Salomo.

What is significant to his connection to Freemasonry is that he is credited with being the King who built the first Temple in Jerusalem. Why is that important?

King Solomon is said to have been a just and wise man - imbued with wisdom from God - and a great ruler because he put the needs of his people before his own. In the Holy Bible, God is said to have rewarded him with additional wisdom in part because rather than asking God for favors for himself, Solomon sought favors to help others. It is safe to say that he embraced the notions of service and duty.

Solomon aligned himself with King Hiram I, of Tyre, for many projects to public service, but perhaps the most famous and well known of these collaborative projects is the erection of a Temple in Jerusalem meant to house the relic The Ark of the Covenant. In partnership with Hiram I, the two Kings planned out the Temple design with the assistance of skilled craftsmen - in particular with one Hiram Abiff, an architect who was also a Freestone Mason and an artisan who worked with metals. Before I continue this, we have to pause to clarify something.

Not all practicing masons were the same type of mason. Among the dozens of specialties there were what are called "rough" masons - those who constructed basic structures, foundations, and walls, and then there were "Freestone" masons - men who took stone and rock and transformed it into what we can easily call pieces of art - columns, arches, that sort of thing, often combining stone and metals.

The special skill and art that was the foundation of Freestone Masonry was a guarded secret among practitioners of the craft - even among other masons! It was not uncommon to find in the temporary "town" set up next to a building site a private conclave - or lodge - just for the Freestone Masons, where they lived together, ate together, and socialized.

They are known to have used a system of codes to record their designs and techniques, signals and handshakes to identify themselves to a fellow practitioner, and they tended to live and work together as a community.

The design of Solomon's Temple was not a quick project - if you think contractors are slow today, you would be horrified at building times back in the day! With the assistance of Hiram Abiff, Solomon's Temple began to take form in theory, and with the assistance of Hiram I, the materials required for the construction of the Temple began to amass, joining those already gathered by King David, Solomon's father, who was the original visionary of the Temple.

Stone cutters quarried the blocks of stone that were its basic material, artisans from every building craft gathered to the site, and as the Temple was raised,the entire project was directed by the architect, Hiram Abiff, who was sent to Solomon by Hiram I as part of his contribution to the skilled labor and materials pool.

When the Temple was nearing completion, three masons sought out Hiram Abiff with it in mind to force him to reveal the secrets of the Temple to them. When he refused, they killed him and hid his body. King Solomon dispatched search parties when Hiram Abiff was missed, with the goal being to find him, and if necessary, recover the secret that he died to protect. Whether or not King Solomon was privy to that secret is a mater of speculation.

Freemasonry has elevated Hiram Abiff to the position of first Master Mason, and that is how Hiram Abiff connects to Freemasonry. King Hiram I sent Hiram Abiff to King Solomon to help him to construct the first Temple of Jerusalem, and that is how Hiram Abiff connects to both Kings. King Solomon is thought to have considered Hiram Abiff to be a genius, a master craftsman, and a friend, and placed him in a position of great authority and creativity in the construction of a Temple that was largely designed and built by stone masons.

In a nutshell, that is how King Solomon connects with Freemasonry.

I hope that I have fully addressed and answered your question, and if you have any other questions, feel invited to ask them.

Cheers!

Chris

Signature "


IPATE KWENYE LINK:

Ask a Freemason
 
Last edited by a moderator:
Nkwesa Makambo & Eiyer : MIMI binafsi kutokana na Uzoefu wangu najua kuwa Lucifer ndiye Shetani ibilisi halisi.Na kwamba Shetani nikutokana na sifa ya UASI kwa Mungu(mpinzani wa mungu) na Luciferi ndio Jina lake.
Jesus is not equal to Lucifer
Lucifer is Satan and jesus is God
lakini pia siwezi kueleza tofauti ya Asubuhi na Alfajiri.

Ila kuhusu andiko la Isaya ni kweli kabisa linamkebehi LUCIFER, ambaye pasipo na shaka ni Yuleyule Fallen Angel.
Miongoni mwa mambo yanayonipa imani ni kupitia kuona kwenye mikutano ya Injili ya Hadhara ambapo pale wale wanaombewa wakalipuka mapepo kuna wanaosema wametumwa na Lucifer. n.k.

Pia kuna tukio la mtoto mmoja hapa Arusha aliwahi kutoa ushuhuda wake kupitia radio Safina akadai bibi yake aliyekuwa mchawi alimfundisha akiombewa awe anasema kwa jina la Lucifer badala ya jina la Yesu. Ili asianguke.

pili Inawezekana kabisa neno nyota ya asubuhi lilitumika kwake kama neno la kumkebehi lakini halikuwa linamaana kuwa yeye ni Nyota ya Asubuhi per se.

Pia rai yangu kwako
Nkwesa Makambo ni kuwa ikiwa utaendelea kuamini kuwa Lucifer ni Yesu, Basi nakushauri uachane na jina hilo(Lucifer) katika matumizi yako kwani si lazima, kwani unaweza ukajikuta unajisogeza kwenye utawala wa Giza unknowingly.

mfano, mimi binafsi nimekuwa mzito kwenye matumizi ya Jina Jehova na hii ni kutokana na baadhi ya maelezo niliyowahi kuyapata previously kuhusiana na Jina hili.
ila utafiti uendelee.
kwani najua kanisa katoliki lina maelezo mengi yanayothibitisha hili kuwa Lucifer is Satan.
Ningependa schlendler na mgen wachangie hapa.

 
Wickama,

Asante mkuu kwa kuwadadavulia,japo nilijua nikiandika kwamb masonic imeanza tangu wakati wa mfalme solomon watu wataelewa.thax alot
 
Last edited by a moderator:
2013,

Binafsi sijawahi kusoma andiko lolote linalomwita shetani Lucifer ukitoa neno Lucifer katika Isaya 14:12. Ni kweli kuna matumizi ya neno Lucifer kama shetani kwa mazoea tu.
Ni Mara nyingi ukweli na mazoea haviwi sawa. Neno Lucifer katika lugha yake ya asili halina uhusiano kabisa na shetani lilitumika kumaanisha "itoayo nuru "

Ama kuhusu Yehova ni kweli sio jina la Mungu, jina la Mungu ni Yhwh ambalo limekuwa likitamkwa Yahweh, japo kwa asili jina lake halina "vowel" haijulikani kwa uhakika ni nani alibuni jina Yehova na kwa msingi gani.

Binafsi huwa nalitumia kwa kumwelewesha MTU juu ya utofauti wa Mungu na miungu lakini najitahidi kuweka Yhwh au Yahweh Mbele yake.
Labda nami nijifunze juu ya huyu shetani kupewa jina la Lucifer inspatikana wapi tukiacha hii ya ''conventional wisdom"
 
Nimetoa maelezo ya neno LUCIFER kuandikwa mara moja tena kwenye Biblia ya KJV na chanzo cha kutumiwa neno hilo nimeeleza Mkuu.

Mkuu,
Hili linaweza kuwa sio tatizo sana kwasababu hata jina la Mungu ambalo ni NIKO AMBAE NIKO limeandikwa mara chache sana kwenye Biblia na kuna sababu ya kufanywa hivyo so kwa jina hilo kuandikwa mara chache sio tatizo,cha msingi ni kujua maana yake tu ambayo ni mwenye nuru au aliyepewa nuru ambayo ni ileile lucifer

Ama kuhusu Shetani kuitwa Lucifer nje ya mkanganyiko wa matumizi ya neno Lucifer kwenye Isaya 14:12 nakiri kwako kwamba sijui na sijawahi kusoma popote.
Mkuu we jua tu kuwa unapokuta mahali pameandikwa "mwenye nuru" au aliyepewa nuru" jua ni lucifer tu

Nakumbuka jina hilo nilianza kulisikia mwanzoni mwa miaka ya 90 wakati nakwenda mafundisho kanisani,sister aliyekuwa anatufundisha alikuwa akimtaja sana kwa jina lake hilo la Lucifer
Kwa kadri ya uchunguzi,pamoja na kujulikana kupitia Isaya 14:12 kwamba Shetani aliitwa Lucifer kutokana na kujisifu kuwa ni mkuu hana aliye mkuu chini hata juu,japo kwa kurejea Isaya 14:4, tunaona Isaya allitumwa kutengeneza Methali kwa ajili ya Mtawala wa Babeli aliyekuwa na majivuno na kiburi dhidi ya Mungu. Hivyo yawezekana sana kwamba Lucifer aliyekuwa anazungumziwa na kukebehiwa kwa mafumbo na Nabii Isaya ni Mtawala wala Babeli,binadam mwenye mwili na si Shetani.
Mkuu wale watawala wote ambao walikua wakijikweza walikuwa wakichukua sifa za shetani kwasababu ndani yao aliyekuwa anafanya hiyo kazi ni huyo shetani,hivyo kusema aliyekuwa anaambiwa ni shetani sio kosa kwakuwa ndie aliyekuwa anafanya kazi na sio huyo mtawala

Lakini pia kwenye hiyo Isaya kuna maelezo ambayo yanamzungumzia Shetani mwenyewe direct na wala sio mkuu wa nchi hiyo
Yah, Mkuu kwa kutafsiri neno Morning,kiswahili unaweza kusema Alfajiri au asubuhi na ukawa sahihi kwa tafsiri zote.
Mkuu hapo pia kuna jambo
Kuna maneno dawn na morning ambayo yana maana tofauti

Morning ni alfajiri na Dawn ni asubuhi
Mkuu nashauri tuendelee kuchunguza maandiko, ili tujue ukweli usio na mawaa, lakini kumbuka nimeeleza hapo juu kwamba Neno Lucifer limeandikwa mara moja tu ndani ya Biblia,tena kwenye Biblia tafsiri ya KJV kwenye Isaya 14:12 tu. Labda kama kuna sehemu nyingine ambayo unajua Ibilisi au Shetani ameitwa Lucifer nitafurahi kujifunza...
Nikweli ngoja nikaangalie kwenye kumbukumbu zangu na nitakuja kukuhabarisha mkuu!
 
the more i read about many things the more i realize that christianity is full of contradictions.
nikipata muda wa kutosha ntakuja kumwaga nondo zangu regarding freemasons maana naona watu wengi wametiwa uoga na maneno ya mtaani regarding this.
 
Nkwesa Makambo,

Mkuu nimefarijika sana kuona kuna watu wengine ambao wanatilia mashaka jina hili Yehova

Binafsi mimi naamini kuwa sio jina la Mungu na hata hizo herufi zinazoitwa tetragrammaton ambazo ni YHWH nazo sio jina la Mungu,jina la Mungu ni EHYEH ASHER EHYEH,Yehova sio jina lake na wala YHWH sio Kiebrania,hiyo lugha inaitwa Babylonia Aramaic na wayahudi walikuja nayo kutoka utumwani babel na haina uhusiano wowote na lugha ya kiebrania

Waliofanya hadi jina hilo likawepo kwenye Biblia ni watu wanaojiita sacerd name movement ambao chimbuko lao ni Jehova witness ambao mwanzilishi wake ni Cahrles Taze Russel ambao ushahidi unaonesha alikuwa ni Freemason wa degree 33!
 
2013,

Mkuu nimekupata sana lakini kuhusiana na subuhi na alfajiri tofauti ipo kabisa

ALfajiri kwa kiingereza ni morning,kwenye kiingereza morning inaanza baada ya saa 7 usiku lakini inapokuwa ni asubuhi inahesabika kama dawn yaani wakati wa kuchomoa kwa jua ndio maana Shetani akasemwa kuwa ni "son of dawn"

Ni kweli mkuu Shetani sio sawa na Yesu na hili limewachanganya wengi sana,Shetani ni mjanja sana na kama huwezi kutumia hekima sio ajabu akakuingiza mkenge.Huchukua mambo yanayofanana na ya Mungu na kujifananisha nayo lakini kwenye Lucifer hilo ni jina lake na ki ukuu halina hata ukaribu na Yesu na kumfananisha na Yesu ni mbaya sana

Kuhisiana na ina Jehova nakubaliana na wewe kuwa lina utata sana na sio jina la Mungu ila kama unavyosema utafiti uendelee

Nimewahi kuzungumza na Jehova witness na hawakunipa maelezo ya kuridhisha na nilitegemea wao ndio wangenipa maelezo mazuri kuhusiana na jina hili lakini imekuwa ngumu!
 
Back
Top Bottom