Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Mzee Mwanakijiji,
Umesahau Zanzibar ya John Okello ndio ya Mapinduzi kabla ya Muungano!
hapo napo kwenye bold ndipo lilipo bomu la kuwagawa hawa jamaa (Pemba na Unguja), Wapemba mpaka kesho hawayakubali kabisa haya mapinduzi kwa sababu yamewatenganisha na Ndugu zao wengi, lakini kwa wa unguja hayo mapinduzi ulikuwa ni ukombozi wa kuwapa usawa na haki kwa wote
kitu cha pili ambacho ningependa kuchangia ni kuwa, kuna uwezekano mkubwa kwa muungano kuvunjwa na watu wa BAra, maana asilimia kubwa ya wabara wamechoshwa na kelele za tunataka nchi yetu, inafikia point wa Bara wanaanza kuhoji faida za muungano wakati hiyo haikuwa desturi yao,