Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Samani tu za hiyo nyumba milioni 200. Jamani hebu samtaimu tutumie busara badala ya darasa. Maana darasa limeshindwa kuchukuwa nafasi yake hapo. How the F@$%*........K can you do that.
8,000 x 12 x 5 = usd 480,000 in five years only housing; kweli masikini hajijui kuwa ni masikini; hata akili haifanyi kazi. Hata Raisi hana akili![/QUOTE]
Mkuu hapo mmmh, Heri mimi sijaesema aaaahh aahaha aaaaha.
Kwa mtazamo wangu nafikiri Raisi ana akili ila busara ndo MPATUPU. Watu wanaomzunguka ni bure kabisa. Huwezi kufanya hivi vitu kama huna 10% kickbacks, hapa kuna samsing'
Sasa mkuu hapa una maana gani hasa?.
...Ebo!!Kaka wewe vipi tena?? ndo-Darasa/Busara yenyewe hiyo!!...Shellukindo kasema Hiyo kitu yote ina baraka za Rais....ni kwa utashi wa Rais wetu hayo yamewezekana!!Samani tu za hiyo nyumba milioni 200. Jamani hebu samtaimu tutumie busara badala ya darasa. Maana darasa limeshindwa kuchukuwa nafasi yake hapo. How the F@$%*........K can you do that.
Mbona Adam Sapi Mkwawa alikuwa anakaa nyumba ya kawaida tu relatively speaking pale nyuma ya ubalozi wa Marekani wa zamani (Laibon) na alikuwa Spika mzuri tu?
Spika anatengenezewa zengwe la kumuondoa na yeye lilivyo lijinga linajiingiza.
Ni mwanzo tu jamani stay tuned.....
Kama amaewekewa mtego akauruhusu umnase ni makosa yake mwenyewe. Alitakiwa kujua kuwa anakalia cheo ambacho kinaweza kumtengenezea maadui wengi ambao wanaweza kuandaa mbinu za kumchafua. Kwa hiyo kama huu ilikuwa mtego, basi amemnasa na hawezi kukwepa lawama. Kwa maani hiyo siyo Sitta wala Shelukiondo ambao wanaweza kusimama kutueleza habari za kupambana na rushwa baada ya hili bomu la matumizi ya kifisadi. Hebu angalia hapa chini:
Pango la nyumba = $8000x12*5yrs = $480,000 x 1300 = Tshs 624ml
Samani = $200,000x1300 = Tshs 260ml
Gari la spika = $300,000x1300 =TShs 390ml
Jumla = Tshs 1.274bn
Kweli hiki ni kiasi kidogo kwa spika peke yake? Kama tukiakadiria kuwa naibu wake atatumia nusu ya hicho kiasi (sawa na Tshs 637ml) ina maana kuwa wote wawili watatumia 1.911bn kwa nyumba na usafiri tu. Hiki ni kiasi kikubwa sana na kwa kweli walitakiwa kuwa watu wa kwanza kukipinga kama kweli ni waadalifu na wanataka kujipa nguvu za kuibana serikali. Vinginevyo wanatuonesha kuwa hawana lolote wanaloweza kufanya kwa sababu wate (serikali, spika na wabunge) wanashughulikia ulaji tu!!
Mkuu tafadhali!.... Adam Sapi hakuwa anakaa kwenye nyumba ya "kawaida" pale mitaa ya Laibon Oysterbay. Alikua anakaa kwenye jumba lenye hadhi ya uspika ambalo uzauza ya mkapa wakaliuza mpaka lile jumba.
Jiulize kupangisha jumba lilelile la Adam sapi sasa hivi utalipa kiasi gani. I guarantee you kwa mitaa ile na kwa jumba lile, ni not less the 10,000 USD kwa mwezi. (Tuwekee picha ya lile hekalu na utoe address yake).
Nyumba anayokaa chief secretary(bahati hii haikuuzwa, nafikiri Lumbanga alistuka akanunua sehemu ingine) kama tunakubali ni la hadhi ya chief secretary, tujiulize lingekua linapangishwa angelipa kiasi gani? nalo ni mahekalu ya range ya USD 10,000 kwa mwezi(likely zaidi).
Sasa nyumba ya hadhi ya uspika imeuzwa kwa akina sapi, viongozi wengine kama waziri mkuu, na chief secretary wamewekwa kwenye nyumba za hadhi zao. Iweje spika kupangiwa nyumba ambayo haifikii hata ya chief secretary kwa hadhi iwe nongwa!...
Narudia ni stahii ya kazi yake. Kama wewe unavyofurahia kulipiwa likizo, au simu kama stahili ya kazi yako. Uspika unaweza kugombewa na hata wewe ukipenda. Chakurekebisha ni mfumo wa kuidhinisha matumizi, lakini napinga kumfanya scapegoat wa system. Tena selective judgement.
Tuwafanyie hivyo viongozi wote. Hayo majumba wanayokaa waziri mkuu au chief secretary kama serikali ingewaruhusu TBA(Tanzania Building Agency) wapangishe foreign embassies wangeingiza kiasi gani kwa mwezi???... What is the opportunity cost kwa hawa viongozi kukalia yale mahekalu kwenye prime of the prime areas za Oysterbay.
PINDA si ndio kipimo cha USAFI!
Naomba wajuzi mtupigie mahesabu ya gharama zake kwa mwaka halafu tulinganishe, magari, samani ya nyumba zote, watumishi, mavazi bila kusahau ile bajeti yake ya vikekikeki vya chai ya wageni. Najua wapo watakaorukia kusema NI STAHILI ZA WAZIRI MKUU. Mi sina tatizo na hilo, ila tupewe na gharama za PINDA tulinganishe.
Hata kama Pinda anatumia zaidi hiyo haiwezi kuhalalisha matumizi ya hovyo namna hiyo. Labda kwa ajili ya kutuonesha kuwa tunaumizwa na viongozi wetu wenyewe basi tuwekewe ili kupata picha kamili.
GT hivi kufanya hivi bongo kwenye miji yetu, tunahitaji msaada wa pesa za kigeni toka kwa Obama au Brown?wakati tunabishana kuhusus spika hebu tazameni wenzetu wanavyotengeneza bustani na pathways zao
![]()
sioni kwa nini wasifanye hivi Mnazi mmoja badala ya kupafunga kuonyesha how out of touch kama spika 6
Mkuu unatumia kama laki moja kwa siku hapo Mtwara?bado mambo yako ya TOTOZI,si unajua totozi za Mtwara na sindimba mkuu wetu? unaweza kusahau kurudi Dsm.
Kama amaewekewa mtego akauruhusu umnase ni makosa yake mwenyewe. Alitakiwa kujua kuwa anakalia cheo ambacho kinaweza kumtengenezea maadui wengi ambao wanaweza kuandaa mbinu za kumchafua. Kwa hiyo kama huu ilikuwa mtego, basi amemnasa na hawezi kukwepa lawama. Kwa maani hiyo siyo Sitta wala Shelukiondo ambao wanaweza kusimama kutueleza habari za kupambana na rushwa baada ya hili bomu la matumizi ya kifisadi. Hebu angalia hapa chini:
Pango la nyumba = $8000x12*5yrs = $480,000 x 1300 = Tshs 624ml
Samani = $200,000x1300 = Tshs 260ml
Gari la spika = $300,000x1300 =TShs 390ml
Jumla = Tshs 1.274bn
Kweli hiki ni kiasi kidogo kwa spika peke yake? Kama tukiakadiria kuwa naibu wake atatumia nusu ya hicho kiasi (sawa na Tshs 637ml) ina maana kuwa wote wawili watatumia 1.911bn kwa nyumba na usafiri tu. Hiki ni kiasi kikubwa sana na kwa kweli walitakiwa kuwa watu wa kwanza kukipinga kama kweli ni waadalifu na wanataka kujipa nguvu za kuibana serikali. Vinginevyo wanatuonesha kuwa hawana lolote wanaloweza kufanya kwa sababu wate (serikali, spika na wabunge) wanashughulikia ulaji tu!!