Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Mzee Busara

Senior Member
Feb 29, 2008
113
19
Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.




Tanzania Daima = ijumaa said:


Sitta achunguzwa

na Happiness Katabazi


TUHUMA za ufisadi zilizosambazwa katika mtandao wa intaneti zikimlenga Spika wa Bunge, Samuel Sitta, zimesababisha Ofisi ya Bunge kuanzisha uchunguzi dhidi ya kiongozi huyo wa juu wa mamlaka hiyo ya dola.

Taarifa za kuanza kwa uchunguzi huo zilitangazwa na Katibu wa Bunge, Damian Foka wakati alipofanya mahojiano na gazeti hili, ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana.

Kwa mujibu wa Foka, madai ambayo atayafanyia uchunguzi ni yale yanayomhusisha Spika na tuhuma za kuwasilisha katika ofisi ya Mhasibu Mkuu wa Bunge risiti za kughushi za matumizi yake.

“Ofisi za Bunge hazina taarifa za Spika kughushi risiti, nipeni muda niwasiliane na wakuu wa vitengo husika, ili tutafute ukweli kuhusu tuhuma hizo, na iwapo tutabaini lolote tutatoa majibu. Ile ni ofisi ya umma na mali zake zinatakiwa zitumike kwa matumizi yanayopaswa na si vinginevyo,” alisema Foka.

Pamoja na hilo, Foka alikiri madai yaliyoandikwa katika mtandao wa intaneti yanayoeleza kuwa, Sitta aliwasilisha risiti ya shilingi milioni mbili aliyonunulia dawa kutoka katika duka moja la dawa lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Aidha, alisema baada ya kuwasilisha risiti hiyo, alimwelekeza alete pia cheti cha daktari kilichokuwa kikionyesha kuwa alitakiwa kutumia dawa zenye gharama hizo kutokana na matatizo yake ya kiafya katika kipindi cha wiki moja.

“Ni kweli kuwa mwezi uliopita, Spika Sitta alilipwa shilingi milioni mbili katika kipindi cha wiki moja kwa ajili ya kununulia dawa katika duka la dawa la Oysterbay,” alisema Foka.

Alisema malipo hayo ni halali kwa sababu Ofisi ya Bunge ina taarifa kuhusu matatizo ya kiafya ya Spika Sitta ambayo hata hivyo hakutaka kuyaweka bayana kwa madai kuwa maradhi ya mtu ni siri yake na daktari wake.

Hata hivyo taarifa ambazo gazeti hili linazo zinaeleza kuwa, Spika amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya miguu ambayo kimsingi ndiyo aliyokuwa akiyatibu kupitia dawa alizonunua katika duka hilo la dawa.

Kuhusu madai kwamba Spika amekuwa akijihusisha katika matumizi mabaya yasiyotambulika kisheria na kikanuni kwa madaraka yake, ya magari mawili ya Bunge aliyopewa kwa shughuli zake binafsi, Foka alisema hana taarifa hizo na kuongeza kuwa uwezekano wa kuwepo kwa jambo hilo ni mdogo.

Wakati Foka akitoa taarifa hizo, maofisa kadhaa wa Bunge waliozungumza na Tanzania Daima wanaeleza kuwa, siku chache zilizopita ofisi ya Katibu wa Bunge ilipata kumhoji Sitta kuhusu kuwapo kwa madai hayo yanayomhusisha na matumizi yasiyofaa ya magari ya umma.

Foka pia alikanusha madai kwamba Ofisi ya Bunge imekuwa ikilipa gharama za umeme na maji kwa baadhi ya watu walio na uhusiano wa karibu na Spika, ambao kimsingi hawastahili kupata malipo hayo.

Pia alikanusha madai kuwa, kamati moja ya kudumu ya Bunge iligundua kuwepo mapungufu katika matumuzi ya fedha yaliyofanywa na Spika, lakini wajumbe wake walinyamazishwa na Sitta mwenyewe baada ya kuwatisha kuwa, iwapo wangeweka hadharani upungufu huo, wangekabiliwa na adhabu ya kunyimwa posho pamoja na kutopangiwa safari za nje.

Akizungumza madai kwamba Sitta amekuwa akilipwa kiasi kikubwa kwa ajili ya safari anazofanya ndani na nje ya nchi, na pia kujilimbikizia deni kubwa linalotajwa kufikia sh milioni 60, Foka alisema anachofahamu, Spika anasafiri nje na huwa analipiwa huduma ya maradhi na nusu ya asilimia 20 ya posho kama fedha za matumuzi na si zaidi ya hapo.

Naye Mkurugenzi wa Elimu ya Umma na Uhusiano wa Kimataifa wa Bunge, Jose Mwakasyuka ambaye alikuwapo wakati Foka akihojiwa, alisema mali za Bunge zipo salama na kwamba tuhuma zinazoelekezwa sasa kwa Spika zina kila dalili ya kuwepo nia ya makusudi ya kumchafua.

“Hizi tuhuma ni za kupakana matope na kuchafuliana majina, kwani tuhuma zenyewe hazimtaji nani aliyezitoa. Nadhani kuna watu wanataka waandishi waache kuandika mambo ya msingi kwa ajili ya maendeleo ya nchi na badala yake wajielekeze kwenye tuhuma dhidi ya viongozi,” alisema Mwakasyuka.

Hivi karibuni, Spika Sitta alizungumza na gazeti hili kuhusu tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwake na kueleza kuwa, hawezi kuzizungumzia kwa sababu zinatolewa na wahuni wenye lengo la kumchafulia jina lake mbele ya jamii.

Mbali ya hilo, Sitta alilielekeza Tanzania Daima kuwasiliana na maofisa wa Bunge ili kupata ukweli wote kuhusu madai hayo yaliyoandikwa katika mtandao mmoja wa intaneti.
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.


Nimesoma nime elewa lakini sija elewa .Naenda pale bakhresa kutafuta kinywani nirudi cafe .Unasma haya ndiyo maisha ya Samwek Sitta ? Naomba uendelee kumwaga mambo hapa .
 
Huo sio ufisadi tena ni KUFURU!kama hayo madai ni KWELI then nchi Tanzania hatuna viongozi!!!Ila mzee wa busara hiyo itakuwa umeipata kutoka kwa wana mtandao walioasi!
 
naomba kujulishwa kuhusu nyumba anayoishi sasa sitta nasikia ni ahsante kapigwa mshiko kafyatua ghorofa! kwa kuwasaidia wale waliokuja kuwekeza wakati akiwa bosi wa kitengo hicho.

halafu mke wake maana anao wengi (magret)naye amejengewa shule kama ufisadi wake kwa kampuni ama kwa shukurani ya mwalimu house!!!
 
Naona huyu anaganga njaa huu siyo UFISADi, Mimi naomba data nyingine.

na huko kuganga njaa ni kwa pesa ya nani?? have you ever given yourself a minute to think b4 throwing your comments humu?? kila sent yetu moja inapaswa kutumika kihalali na tunapaswa kuulizia matumizi yake, we should be responsible for uor money
 
mmmmmhhhh!!!..........anyway nafikri hii inafaa kuwekwa ktk section ya Vituko vya Wakubwa.....nafikri section hiyo ipo hapa JF
 
Nadhani ikae hapa kwa muda, binafsi niko kwenye matumizi ya fedha za umma.

Haya madai siyo madogo na ni mazito. Kama lingekuwa suala la binafsi lisilohusiana na utendaji kazi wake tungeliweka kwenye vibweka, lakini madai kuwa anatumia ofisi yake kujinufaisha nje ya taratibu ni madai mazito na ambayo lazima yaangaliwe. Kama anadaiwa milioni 60 za walipa kodi wananchi wanatakiwa kujau asili ya deni hilo kama vile madeni ya mwanasiasa mwingine yalivyowekwa hapa.

labda huko mbeleni itaenda pembeni, lakini kwa sasa nadhani hapa ni wakati muafaka kabisa! Tatizo siyo kutoa madai lakini huyo aliyoyatoa katoa hata na ushahidi wa juu juu (tarehe, nyumba n.k) hivyo si udaku wa kawaida ambapo mtu anakuja na kusema "anayejua zaidi alete data"...
 
Vimada, STK, masufuru, per diem? Are these part of the speed or standards?
 
Mmmhh!!! sasa sijui wananchi tutakimbilia wapi? Hii thread ibaki hapahapa, ndio mahala pake haswa!!!. Kama haya yanayozungumzwa hayana ukweli, basi tunamuomba mheshimiwa sitta akanushe hizi tuhuma. Otherwise, huyu jamaa anafaa kusulubishwa kama nanihiii. Wabunge mshughulikieni huyu fisadi, kama haya madai yana ukweli.
 
Huyu Mzee habari zake ni ndefu sana na kila mara hu play an angel .Kumbukeni kwamba aliogopa kwanza kuijadili EPA japokuwa najua usanii ulikwa coordinated .Kumbukeni baada ya Lowasa kusema anajiuzuru alishindwa hata la kusema .Basi hapa ujue kuna jambo zito .Lisemwako liko na kama haliko li njiani .Mambo mazito haya mlate hoja naamini ataendelea kutupakulia.
 
Hivi kuna mbunge anayeweza kuleta hoja ya kumjadili Sitta bungeni? Inaonekana wanamuogopa kwa sababu ya ubabe wake. Nadhani hata ile tripu ya USA kukwepa kumsulubisha EL ilikuwa ni mbinu zake chafu hadi alipolazimishwa kuifuta ziara. Huyu mzee nilikuwa najua ni diktator lakini sikujua kama ni fisadi na mchafu (morally) kiasi hiki
 
Hivi kuna mbunge anayeweza kuleta hoja ya kumjadili Sitta bungeni? Inaonekana wanamuogopa kwa sababu ya ubabe wake. Nadhani hata ile tripu ya USA kukwepa kumsulubisha EL ilikuwa ni mbinu zake chafu hadi alipolazimishwa kuifuta ziara. Huyu mzee nilikuwa najua ni diktator lakini sikujua kama ni fisadi na mchafu (morally) kiasi hiki

Sitta ukitaka kumjua kwamba ni wa ajabu basi jaribu kuongea issue nzito na akihusishwa haweza kukuangalia machoni na lazima alete neno Busara za Spika wakati hana hizo busara.Umri wake wote huu na mke na watoto bado ana vimada kw ajina la kodi yangu mimi mlala hoi ? This is serious Wabunge lazima hili wali hoji .Maadili kama hana Uspika hauna maana kwake .
 
Jamani hii mada naona na mimi sasa niulize kwa nini inafutwa mara kwa mara .Nimeona kuna watu 3 sasa wanaiweka inafutwa haraka haraka .Je ni kosa mkubwa huyu kujadiliwa? Tuambieni basi tujue badala ya kufuta kimya kimya . Nami nime copy na naiweka tena .Mkiifuta tupeni maelezo kwa nini inafutwa .
Unaujua Ufisadi Wa Samwel Siitta? (spika Wa Bunge)

--------------------------------------------------------------------------------

Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.
 
Lunyungu nitumie kwenye PM nitaiweka kwenye klhnews.com.. labda kuna sababu muhimu na nadhani tuelewe hivyo. Itume kwangu nitaiweka kule..
 
Siasa za Tanzania zimefikia hali mbaya sana. Tusipoangalia tutakuwa ni taifa la kujadili viongozi wetu wamelala na nani badala ya kujadili masuala muhimu ya Taifa.

Tunashindwa kutambua kuwa kipind hiki cha hoja za ufisadi zitakuja hoja nyingi sana kutupumbaza? Sasa kila mtu anapakwa matope. Hivi mnadhani ni haku kweli kujadili maswala binafsi kabisa ya Sitta, au masuala ya kuzusha waziwazi wa matumizi ya ofisi ya Spika? Bunge mwaka jana limepata hati safi ya matumizi yake, CAG hajaonesha fungu lolote lenye matatizo. Habari hii inaletwa kwa malengo yaleyale ya habari za Mwenyekiti Mbowe, kutuhamisha katika hoja. Kundi lile lie lililotoa habari za Mbowe na NSSF kwa uzushi mkubwa ndio hilo hilo linamsema Sitta.

Siasa za Tanzania zinaelekea kubaya kabisa. Sasa mtasikia kuhusu Mwakyembe etc............... Sisi Watanzania sijui nani katuloga.

Haya endeleeni mi naendelea kupika ripoti ya Kamati ya Bomani. Wanaoendelea kujadili Sitta ana mahawara wangapi waendelee!

Mada hii, kwa maoni yangu binafsi, haina maana katika ubao huu.
 
Siasa za Tanzania zimefikia hali mbaya sana. Tusipoangalia tutakuwa ni taifa la kujadili viongozi wetu wamelala na nani badala ya kujadili masuala muhimu ya Taifa.

Tunashindwa kutambua kuwa kipind hiki cha hoja za ufisadi zitakuja hoja nyingi sana kutupumbaza? Sasa kila mtu anapakwa matope. Hivi mnadhani ni haku kweli kujadili maswala binafsi kabisa ya Sitta, au masuala ya kuzusha waziwazi wa matumizi ya ofisi ya Spika? Bunge mwaka jana limepata hati safi ya matumizi yake, CAG hajaonesha fungu lolote lenye matatizo. Habari hii inaletwa kwa malengo yaleyale ya habari za Mwenyekiti Mbowe, kutuhamisha katika hoja. Kundi lile lie lililotoa habari za Mbowe na NSSF kwa uzushi mkubwa ndio hilo hilo linamsema Sitta.

Siasa za Tanzania zinaelekea kubaya kabisa. Sasa mtasikia kuhusu Mwakyembe etc............... Sisi Watanzania sijui nani katuloga.

Haya endeleeni mi naendelea kupika ripoti ya Kamati ya Bomani. Wanaoendelea kujadili Sitta ana mahawara wangapi waendelee!

Mada hii, kwa maoni yangu binafsi, haina maana katika ubao huu.


Ha! ha! ha! "Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba"
 
Siasa za Tanzania zimefikia hali mbaya sana. Tusipoangalia tutakuwa ni taifa la kujadili viongozi wetu wamelala na nani badala ya kujadili masuala muhimu ya Taifa.

Tunashindwa kutambua kuwa kipind hiki cha hoja za ufisadi zitakuja hoja nyingi sana kutupumbaza? Sasa kila mtu anapakwa matope. Hivi mnadhani ni haku kweli kujadili maswala binafsi kabisa ya Sitta, au masuala ya kuzusha waziwazi wa matumizi ya ofisi ya Spika? Bunge mwaka jana limepata hati safi ya matumizi yake, CAG hajaonesha fungu lolote lenye matatizo. Habari hii inaletwa kwa malengo yaleyale ya habari za Mwenyekiti Mbowe, kutuhamisha katika hoja. Kundi lile lie lililotoa habari za Mbowe na NSSF kwa uzushi mkubwa ndio hilo hilo linamsema Sitta.

Siasa za Tanzania zinaelekea kubaya kabisa. Sasa mtasikia kuhusu Mwakyembe etc............... Sisi Watanzania sijui nani katuloga.

Haya endeleeni mi naendelea kupika ripoti ya Kamati ya Bomani. Wanaoendelea kujadili Sitta ana mahawara wangapi waendelee!

Mada hii, kwa maoni yangu binafsi, haina maana katika ubao huu.



Thanks Zitto .

Mtoa hoja aliitoa akakimbia. Maana mwisho alimalizia kusema hii ni kidogo. Thanks so much and that is why I love JF.

Tunangoja ripoti ya madini Mtanzania wewe. Tuna kiu na hope Bomani atafanya kweli kama Mwakyembe. Shida ni kwamba ni kamati ya ushauri kwa Rais sasa kazi ni kubwa kweli sijui itakuwaje .
 
Back
Top Bottom