Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Huwezi toka malezi ya CCM ukawa mwadilifu! Sita angelikuwa mwadilifu asingeliamua kuendelea na bunge la katiba wakati kuna mgogoro ambao kwa kiwango kikubwa ameuleta yeye kwa ku-mismanage bunge
Uadilifu ndani ya CCM ni kitu adimu sana.
 
Mkuu sitta ni walewale, mwezi ujao anakwenda kuhalalisha kulipa posho wajumbe wa bunge la katiba kwa mipasho, kejeli, matusi na uchakachuaji maoni ya wananchi. Pia ni sitta huyuhuyu ndiye aliyelazimisha ofisi ya spika ikajengwe kwao urambo, pia ni sitta huyuhuyu aliyelazimisha kuendelea kuishi nyumba ya spika wakati yeye sio spika. 6 ni fisadi kama mafisadi wengine tu!
 
JF Data Bank ni kiboko... Moral Authority ya Kukemea maovu huyu Sitta anaipata wapi?...mbona hajawahi kukanusha mpaka sasa?... No wonder kuna matumizi ya hovyo sana BMK ...
Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.
 
huwezi toka malezi ya ccm ukawa mwadilifu! Sita angelikuwa mwadilifu asingeliamua kuendelea na bunge la katiba wakati kuna mgogoro ambao kwa kiwango kikubwa ameuleta yeye kwa ku-mismanage bunge

hana pa kutokea,anapita katika kipindi kigumu kisiasa ambacho lazima kitamdondosha na hatafufuka tena
 
Thanks Zitto .

Mtoa hoja aliitoa akakimbia. Maana mwisho alimalizia kusema hii ni kidogo. Thanks so much and that is why I love JF.

Tunangoja ripoti ya madini Mtanzania wewe. Tuna kiu na hope Bomani atafanya kweli kama Mwakyembe. Shida ni kwamba ni kamati ya ushauri kwa Rais sasa kazi ni kubwa kweli sijui itakuwaje .
Mwambie Zitto atujuze habari za kutupwa kadi za ACT katika ofisi ya CHADEMA kule Mbeya
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.

Lisemwalo lipo, kwanini tuhuma zote hizi zielekezwe kwake? na kwa issues tofauti? kwa nini zisiletwe kwa Lukuvi? ingieni kazini mjionee zaidi na zaidi mtagundua tu
 
Siasa za Tanzania zimefikia hali mbaya sana. Tusipoangalia tutakuwa ni taifa la kujadili viongozi wetu wamelala na nani badala ya kujadili masuala muhimu ya Taifa.

Tunashindwa kutambua kuwa kipind hiki cha hoja za ufisadi zitakuja hoja nyingi sana kutupumbaza? Sasa kila mtu anapakwa matope. Hivi mnadhani ni haku kweli kujadili maswala binafsi kabisa ya Sitta, au masuala ya kuzusha waziwazi wa matumizi ya ofisi ya Spika? Bunge mwaka jana limepata hati safi ya matumizi yake, CAG hajaonesha fungu lolote lenye matatizo. Habari hii inaletwa kwa malengo yaleyale ya habari za Mwenyekiti Mbowe, kutuhamisha katika hoja. Kundi lile lie lililotoa habari za Mbowe na NSSF kwa uzushi mkubwa ndio hilo hilo linamsema Sitta.

Siasa za Tanzania zinaelekea kubaya kabisa. Sasa mtasikia kuhusu Mwakyembe etc............... Sisi Watanzania sijui nani katuloga.

Haya endeleeni mi naendelea kupika ripoti ya Kamati ya Bomani. Wanaoendelea kujadili Sitta ana mahawara wangapi waendelee!

Mada hii, kwa maoni yangu binafsi, haina maana katika ubao huu.



Acha umburula,kuna miiko ya uongozi unaifahamu?au wewe ndio walewale!
Nimewahi kuweka wazi uzi wa ufisadi wa huyu Samwel Sitta lakini uzi huo uliondolewa faster,kilichonisukuma kufanya hivyo ni jinsi anavyo wahadaa watanzania na kuwaibia kodi yao ingali yeye ni mzee wa kanisa katika usharika wetu wa Kinondoni. Akiwa kanisani anajiweka mbelembele sana,nakumbuka sikukuu moja ya mavuno alileta ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa kama mavuno yake basi akatokea jamaa mmoja alipanda naye dau katika mnada kiasi kwamba watu wakagundua hakuwa na nia ya kumtoa sadaka bali ni ubishoo aliokuwa nao,alitokea kumchukia sana yule jamaa aliyeyaka kumnunua huyo ng'ombe na hatimaye alirudi naye nyumbani.
Huyu mzee ana vimada wa kutosha tu,namsikitikia mke wake wa ndoa ana uvumilivu usio kifani,Sitta na Mengi wa IPP wanafanya ufuska kwa kutumia fadha zao na kwa kuona umasikini wa wanawake wa kitanzania.Nimewahi kushuhudia wote kwa pamoja wakiogelea nyumbani kwa Mengi wakiwa na watoto wadogo chini ya miaka 18 na ndio maana wote wameshindwa kuishi na ndoa zao.
Huwa nakumbuka maneno ya Prof. Kabudi aliposema wazanzibari mambo yao huyaweka hadharani yakazungumzwa lakini anawaogopa sana watanganyika ambao mambo yetu huyaweka moyoni kiasi kwamba siku moto ukiwaka hakuna wa kuuzima. Tunajua mambo na uchafu mwingi unaofanywa na viongozi serikalini.Tunajua wazi pia kikwazo kikubwa cha katiba mpya kinasabaishwa na wao kwani wanajua wazi rasimu iliyopendekezwa na wananchi ikipita itawaweka katika wakati mgumu sana.
Hayo ni baadhi tu ya madhambi ya viongozi serikalini,kila mmoja aliyepo humo ana madhambi ambayo yameathiri maisha bora ya mtanzania kwa namna moja au nyingine. Kuliko haya mawazo sahihi ya wananchi yakapuuzwa ni bora liwalo na liwe,tumechoshwa na ulafi wa mali ya umma unaofanywa na viongozi serikalini. Hii katiba hata ikichelewa ni bora ikaja kuwafaa watoto wetu wakakaa kwa amani na kuheshimiana sio kama hivi sasa.NAWASILISHA.
 
Sasa naamini ndani ya chama cha Mashupaa hakuna msafi!!
Nahc 6 ameingia kichwa kwny mtego Wa ma mvi na amenasa!!!
 
lazima ajadiliwe kama kiongozi ,wewe mheshimiwa zitto nathani umechoka kufikiri kama zamani,inakuwaje kiongozi mkuu anasemwa kuwa anafanya mambo ya hovyo unamtetea bila kupata proof unasema watu wamuachee? how ?and transparency ndo nini kwenu?
 
Acha umburula,kuna miiko ya uongozi unaifahamu?au wewe ndio walewale!
Nimewahi kuweka wazi uzi wa ufisadi wa huyu Samwel Sitta lakini uzi huo uliondolewa faster,kilichonisukuma kufanya hivyo ni jinsi anavyo wahadaa watanzania na kuwaibia kodi yao ingali yeye ni mzee wa kanisa katika usharika wetu wa Kinondoni. Akiwa kanisani anajiweka mbelembele sana,nakumbuka sikukuu moja ya mavuno alileta ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa kama mavuno yake basi akatokea jamaa mmoja alipanda naye dau katika mnada kiasi kwamba watu wakagundua hakuwa na nia ya kumtoa sadaka bali ni ubishoo aliokuwa nao,alitokea kumchukia sana yule jamaa aliyeyaka kumnunua huyo ng'ombe na hatimaye alirudi naye nyumbani.
Huyu mzee ana vimada wa kutosha tu,namsikitikia mke wake wa ndoa ana uvumilivu usio kifani,Sitta na Mengi wa IPP wanafanya ufuska kwa kutumia fadha zao na kwa kuona umasikini wa wanawake wa kitanzania.Nimewahi kushuhudia wote kwa pamoja wakiogelea nyumbani kwa Mengi wakiwa na watoto wadogo chini ya miaka 18 na ndio maana wote wameshindwa kuishi na ndoa zao.
Huwa nakumbuka maneno ya Prof. Kabudi aliposema wazanzibari mambo yao huyaweka hadharani yakazungumzwa lakini anawaogopa sana watanganyika ambao mambo yetu huyaweka moyoni kiasi kwamba siku moto ukiwaka hakuna wa kuuzima. Tunajua mambo na uchafu mwingi unaofanywa na viongozi serikalini.Tunajua wazi pia kikwazo kikubwa cha katiba mpya kinasabaishwa na wao kwani wanajua wazi rasimu iliyopendekezwa na wananchi ikipita itawaweka katika wakati mgumu sana.
Hayo ni baadhi tu ya madhambi ya viongozi serikalini,kila mmoja aliyepo humo ana madhambi ambayo yameathiri maisha bora ya mtanzania kwa namna moja au nyingine. Kuliko haya mawazo sahihi ya wananchi yakapuuzwa ni bora liwalo na liwe,tumechoshwa na ulafi wa mali ya umma unaofanywa na viongozi serikalini. Hii katiba hata ikichelewa ni bora ikaja kuwafaa watoto wetu wakakaa kwa amani na kuheshimiana sio kama hivi sasa.NAWASILISHA.
Ok,umewasilisha na umesomeka
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom