amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Uadilifu ndani ya CCM ni kitu adimu sana.Huwezi toka malezi ya CCM ukawa mwadilifu! Sita angelikuwa mwadilifu asingeliamua kuendelea na bunge la katiba wakati kuna mgogoro ambao kwa kiwango kikubwa ameuleta yeye kwa ku-mismanage bunge