Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 740
Hiyo bei ya pango si tatizo inawezekana kabisa ikawa ni sahihi kutegemeana na aina ya nyumba maana hapa bongo zipo apatment simple tu lakini pango lake ni dola 3500 hadi 5000, mfano mzuri ni hizo gorofa zinazooteshwa kama uyoga huko upanga na kariakoo. Mie nina mtu namfahamu anaishi apatimenti hapo karibu na slipway. Ni ya kawaida tu lakini bei ni dola 3500. Pale kariakoo wanapouza vifaa vya umeme kuna gorofa jipya pale. niliwapigia simu kuuliza bei, ni dola 3000. sasa kama huyo mzee 6 amepangishiwa kasri ya kifalme unategemea isifike hiyo bei?
Mimi nadhani kwa suala la utawala bora wangeamua hiyo nyumba kuinunua au kujenga nyingine kwa hiyo dola 450 000, hiyo ingesaidia hata Spika wengine baada ya 6 wangeitumia.
Kuhusu office hilo mimi halinisumbui maana hakuna mtu anaependa kukaa kwenye office iliyo rafu.
Baada ya kusema hayo hebu chunguzeni makamu Spika nae anaishi nyumba ya bei gani?
Mawaziri je? Wabunge? Makatibu wakuu? Ukifuatilia haya maisha ya viongozi utaumiza Moyo wako bureeeeeeeee, wee jitahidi uwe mwanasiasa uingie ulingoni uone kama na wewe hutokuwa kama wao.
Hili ni tatizo letu waafrika. Watu wanajipenda binafsi tu. watu wanapenda kuona wengine wako chini wao wako juu wakati wote.
Waache wenye nafasi wajinafasi
Mimi nadhani kwa suala la utawala bora wangeamua hiyo nyumba kuinunua au kujenga nyingine kwa hiyo dola 450 000, hiyo ingesaidia hata Spika wengine baada ya 6 wangeitumia.
Kuhusu office hilo mimi halinisumbui maana hakuna mtu anaependa kukaa kwenye office iliyo rafu.
Baada ya kusema hayo hebu chunguzeni makamu Spika nae anaishi nyumba ya bei gani?
Mawaziri je? Wabunge? Makatibu wakuu? Ukifuatilia haya maisha ya viongozi utaumiza Moyo wako bureeeeeeeee, wee jitahidi uwe mwanasiasa uingie ulingoni uone kama na wewe hutokuwa kama wao.
Hili ni tatizo letu waafrika. Watu wanajipenda binafsi tu. watu wanapenda kuona wengine wako chini wao wako juu wakati wote.
Waache wenye nafasi wajinafasi