Spika anatengenezewa zengwe la kumuondoa na yeye lilivyo lijinga linajiingiza.
Ni mwanzo tu jamani stay tuned.....
Kwa hiyo unataka sema jamaa wasiokuwa upande wake ndio wamesababisha hili. Na kama ni hivyo, kwani uSpika ni cheo cha maisha. Muda wake wa miaka 5 ukiisha mimi na wewe ama mwingine yoyote tuna haki ya kugombea kama tuna sifa zilizoainishwa za mtu anayefaa kuwa Spika. Haya masuala ya mtu kusema anataka kung'olewa hasa kwa Wabunge, Madiwani, Spika nk ni ukosfu wa kufikiri, manake hivi vyeo ni vya muda, miaka 5 unakuja uchaguzi na yoyote anashiriki kugombea.