Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

Kupata siti ya kukaa, nafasi iwepo kwenye siti yangu , halafu nisubiri mrembo mmoja matata aje kukaa na mimi halafu anakuja mbwiga mmoja , mama au bibi🤔
Kwanini Mbwiga😂😂
 
Back
Top Bottom