shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,157
- 10,357
Mi napenda tunapiga story kidogo nikichoka nalala,nikiamka tunapiga piga tena story hivyo Yaani,Sio mtu anaongea non stop umechoka anakuona kabisa lakini bado anakuongelesha Tu!Mhm basi kila mtu avunge tu , macho dirishani , kwenye simu nikichoka nalala