Torra Siabba
Senior Member
- Jul 24, 2016
- 105
- 102
Naomba kupata Uelewa kuna jamaa mmoja ni dalali wa magari na mambo kama hayo ila anafanya kazi ofisi ya mkuu wa mkoa fulani hivi hii iko sawa?
Kwa taratibu na sheria za kazi si sahihi kabisa! Kibongobongo na kula kwa urefu wa kamba haina noma kabisanaomba kupata Uelewa kuna jamaa mmoja ni dalali wa magari na mambo kama hayo ila anafanya kazi ofisi ya mkuu wa mkow fulani hivi hii iko sawa! ????
Kwa taratibu na sheria za kazi si sahihi kabisa! Kibongobongo na kula kwa urefu wa kamba haina noma kabisanaomba kupata Uelewa kuna jamaa mmoja ni dalali wa magari na mambo kama hayo ila anafanya kazi ofisi ya mkuu wa mkow fulani hivi hii iko sawa! ????
Kawaida sana hiyo mbona wapo Wakuu wa mikoa Madalalinaomba kupata Uelewa kuna jamaa mmoja ni dalali wa magari na mambo kama hayo ila anafanya kazi ofisi ya mkuu wa mkow fulani hivi hii iko sawa! ????
😃😃😃Kawaida sana hiyo mbona wapo Wakuu wa mikoa Madalali
Udalali ni taaluma 😀😀
Udalali ni taaluma kama taaluma zingineKawaida sana hiyo mbona wapo Wakuu wa mikoa Madalali
Udalali ni taaluma
Hujaeleweka mkuu.naomba kupata Uelewa kuna jamaa mmoja ni dalali wa magari na mambo kama hayo ila anafanya kazi ofisi ya mkuu wa mkow fulani hivi hii iko sawa! ????
Brother mshana msome vizuri alichokiandika hapo then mjibuKwa taratibu na sheria za kazi si sahihi kabisa! Kibongobongo na kula kwa urefu wa kamba haina noma kabisa
Hakuna ubaya endapo anafanya udalali baada ya muda wa kazi wa serikali kuisha. Mbona wapo wanaofanya kazi kama, boda bodanaomba kupata Uelewa kuna jamaa mmoja ni dalali wa magari na mambo kama hayo ila anafanya kazi ofisi ya mkuu wa mkow fulani hivi hii iko sawa! ????
okHakuna ubaya endapo anafanya udalali baada ya muda wa kazi wa serikali kuisha. Mbona wapo wanaofanya kazi kama, boda boda
okKama haiathiri ratiba za mwajiri wake ama haiingiliani kimaslahi na masuala ya mwajiri wake sidhani kama kuna tatizo. Hiyo ni kazi ya ziada acha ajiongezee kipato