Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,595
- 808
Kuna nyoka flan hv mtwara anaitwa nalikukutu, labda ndo huyo mkuu kamtafte umuulze km ni yeyehahahaa! ni shida sio kwa script hio aisee.. sasa mkuu naomba kujua, hivi joka la kibisa ni lipi hilo? natamani sana nilijue kwa kizungu au picha!
maana wanaume wasio na madhara wanafananishwa sana na huyo kiumbe