Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,047
Tabora region yote ni balaa kwa nyoka. Kuanzia wadogo. Vifutu.swila. sawaka. Cobra mpka huyo black mamba au koboko.Mkuu ni vyema ukarudi na anti-venom za hawa nyoka. Itatusaidia sana sisi watu wa pori. Nasikia sikonge ni balaa kwa koboko!
Pia vipo vinyoka flani hivi vidogo vyembamba vya kijani vinaruka pia. Hivo navyo balaa.
Vijijini kule usiku inabidi utembee na chungu cha moto au uji wa moto. Vinginevyo unashangaa mbele yako kuna nyoka kasimama unalingana nae.