Nicholaus Kilunga
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 1,188
- 570
Ndiyo.Ivi koboko ndio black mamba?
Alishawahi kuangusha zizi zima la ng'ombeKwa hatari huyo koboko msikie tu ila usiombe uingie kwenye 18 zake na wakati huo umkute katoka kwenye mashamba ya bangi kujiria majani.
[emoji2]Yule wa kinokia cha tochi!?? au kuna specie inaitwa ivoo……!!!
Hatari sana.Alishawahi kuangusha zizi zima la ng'ombe
hivi joka la kibisa kwa kingereza anaitwaje?Teh teh teh tehh....kale kanyoka ka kwenye kisamvu?[emoji2] [emoji3]
hahahaa! ni shida sio kwa script hio aisee.. sasa mkuu naomba kujua, hivi joka la kibisa ni lipi hilo? natamani sana nilijue kwa kizungu au picha!Kwa hatari huyo koboko msikie tu ila usiombe uingie kwenye 18 zake na wakati huo umkute katoka kwenye mashamba ya bangi kujiria majani.
hmm jamani aganza, profile picture yako inaita balaa!
Sawa mkuuPolen ntawafowadia jamaa ujumbe wako huu then wampelekee atakachojibu ntakupa feedback
Huko nako ni shida, poleniTabora region yote ni balaa kwa nyoka. Kuanzia wadogo. Vifutu.swila. sawaka. Cobra mpka huyo black mamba au koboko.
Pia vipo vinyoka flani hivi vidogo vyembamba vya kijani vinaruka pia. Hivo navyo balaa.
Vijijini kule usiku inabidi utembee na chungu cha moto au uji wa moto. Vinginevyo unashangaa mbele yako kuna nyoka kasimama unalingana nae.
Hiyo ndiyo michezo yakeAlishawahi kuangusha zizi zima la ng'ombe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hatari huyo koboko msikie tu ila usiombe uingie kwenye 18 zake na wakati huo umkute katoka kwenye mashamba ya bangi kujiria majani.
Du! Jf inakoelekea!Aliye ndani ya suruali
Umejibu kitaalamu sana mkuu. Hongera.Anaconda akifutiwa na chatu wa Asia ya Kusini(ukubwa) (hawana sumu, wanaua kwa constriction)
Nyoka mkubwa mwenye sumu ni King Cobra
Nyoka hatari sana kama taipan(ana sumu yenye uwezo wa kuua mpaka watu 400)na Tiger snake wote toka Australia... Australia pekee ina top 10 ya nyoka wenye sumu kali zaidi duniani
Nyoka mwenye sumu kali Afrika ni Black Mamba(koboko) sumu yake inaitwa neurotoxin pamoja na cardiotoxin(inaathiri mfumo wa neva pamoja na moyo
ndo nyoka mwenye kasi zaidi pengine dunia anakwenda km 19 kwa saa(12mph)... Lakini kwa Afrika Boomslang na vine au twig wanaweza kuwa na sumu kali zaidi japo watu wengi wanachukuliwa poa kwa sababu sio wakorofi sana kama Mamba (silent killers (hawa wana sumu inayoitwa haemotoxin ambayo huathiri damu... ina chemical component ambayo huzuia damu kuganda (clotting) na chemical component nyingine husababisha kupasuka kwa mishipa ya damu hii husababisha damu kuvuja ndani na nje kupitia matundu ya mwili )
Puff adder (kifutu) ndo nyoka mwenye kuuwa watu wengi Afrika kuliko nyoka mwingine(sumu yake inaitwa cytotoxin hii huathiri tishu... Inasababisha kuungua au kuoza sehemu ilioumwa
Mozambican spitting Cobra ndo nyoka anaedhuru watu wengi Kusini mwa Afrika
NB:Angali nyoka wote kwa umakini japo asilimia 70 ya nyoka tz hawana sumu ya kudhuru binadamu... Nyoka mdogo ni hatari zaidi (concentration ya sumu kwa nyoka wadogo ni kubwa... Wanatumia kujilinda kutokana na udogo wao)
Nyoka wakubwa umbo lao laweza kuwasaidia kuogofya
We jamaa una roho nzuri..Polen ntawafowadia jamaa ujumbe wako huu then wampelekee atakachojibu ntakupa feedback
Nmefanikiwa kuongea na yule mzee jana jion amenipa tips chache nikuulize ntakujia inbox na ukiruhusu tushirikishe na wanajamii kwa matumizi yao ya baadae maana bado hao nyoka tunaishi naoDada yangu aling'atwa na kifutu mwaka 1989 shambani, mpaka hivi sasa bado anaumwa.
Kwa muda mrefu nasikia majina tofauti tofauti ya nyoka na sifa zake,hatari zake...lakini je ni yupi ndio kiboko ya yote...yaani funga kazi.anapatikana wapi
Wanasifika sana ni kama vile
Koboko,chatu,cobra,anakonda,futu, n.k
Tujuzane kidogo wakuu
Hahahahaha hyo ya kutembea na uji wa moto naskia hata chunya yapo hayoTabora region yote ni balaa kwa nyoka. Kuanzia wadogo. Vifutu.swila. sawaka. Cobra mpka huyo black mamba au koboko.
Pia vipo vinyoka flani hivi vidogo vyembamba vya kijani vinaruka pia. Hivo navyo balaa.
Vijijini kule usiku inabidi utembee na chungu cha moto au uji wa moto. Vinginevyo unashangaa mbele yako kuna nyoka kasimama unalingana nae.