The conceited
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 448
- 500
picha mkuuKwa hatari huyo koboko msikie tu ila usiombe uingie kwenye 18 zake na wakati huo umkute katoka kwenye mashamba ya bangi kujiria majani.
picha mkuuKwa hatari huyo koboko msikie tu ila usiombe uingie kwenye 18 zake na wakati huo umkute katoka kwenye mashamba ya bangi kujiria majani.
Na mwili wake ni laini sana...Kifutu na hatari yake yote hana haraka kudonoa mtu!!! Mpaka pale atakapohisi kuna hatari kwake... Kama unataka kumkanyaga au kumshika
HAHA JFNyoka hatari zaidi ni yule aliyemdanganya Eva.
Anapatikana kwenye bustani ya Eden na anasifika kwa kumtongoza Eva.
Malizia hiyo stori mkuu nini kilifuata..???Huyu nyoka ni wa ajabu sana nakumbuka mwaka mmoja nlitaka kufua nguo(mtoni) nikaahirisha nikaziacha nguo hapo hapo nkaenda home
Kesho nikarudi nkazikusanya nguo mpaka home na kuziweka chumban jion sasa tuwashe kibatar ile harufu ya mafuta bwana ilimtoa ndani ya zile nguo....palichimbika aisee
Huyu nyoka ni wa ajabu sana nakumbuka mwaka mmoja nlitaka kufua nguo(mtoni) nikaahirisha nikaziacha nguo hapo hapo nkaenda home
Kesho nikarudi nkazikusanya nguo mpaka home na kuziweka chumban jion sasa tuwashe kibatar ile harufu ya mafuta bwana ilimtoa ndani ya zile nguo....palichimbika aisee
Ya bashite!Picha ya mtoa mada ama nyoka!
Nyoka funga kazi ni CCM. Waulize wadanganyika kila uchaguzi, nyoka huyu anakuja na kauli mbiu iliyopakwa asali, mgao wa kofia, fulana, vitenge, buku 5 na ubwabwa ni mtego wa kura.Kwa muda mrefu nasikia majina tofauti tofauti ya nyoka na sifa zake,hatari zake...lakini je ni yupi ndio kiboko ya yote...yaani funga kazi.anapatikana wapi
Wanasifika sana ni kama vile
Koboko,chatu,cobra,anakonda,futu, n.k
Tujuzane kidogo wakuu
Google nyoka aitwae MEDUSA
DahKuna nyoka/ chatu anaeshikilia record ya dunia kwa sasa..
Huyo nyoka anaitwa MEDUSA na anamilikiwa na Kampuni ya Full moon production Inc. Kutoka jimbo la Misouri , nchini marekani.
Nyoka huyo ana urefu wa 7.67M sawa na futi 25 na inchi 2. Vikiwa ni vipimo vilivyochukuliwa mwaka 2011 mwezi october.
Nyoka huyo mwenye umri unaokadiriwa kufikia miaka 10 , alihiyaji watu 15 ili aweze kushikwa kwa unyoofu ili apimwe urefu wake..
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu hizi x x x ndio nini?Chunya huko ni hatareee mkuu kuna mijoka iko pnde flan hivi wanaita maili tano km uxhawah kuxkia nyoka anaewika BA's chunya wapo
Mkubwa na mwenye sumu kaliMuuliza swali unajichanganya mwenyewe,swali lako ni nyoka mkubwa au mwenye sumu kali,maana naona umetaja hadi koboko ambaye ni nyoka mdogo tu kiumbo sema mwenye sumu kali kuliko wote
We unajuaje Kama anatania??? Je Kama ndo nyoka mkubwa anayemjua???.... Hebu Tulia.UNAJUA KAKA HAPA NI SEHEMU YA KUELIMISHANA , HIVYO NI BUSARA KUPUNGUZA MASIHARA ILI WANAOHITAJI ELIMU WAIPATE ,HATA HIVYO TUNASHUKURU KWA MCHANGO WAKO KUWA NYOKA MKUBWA NI WA KIJANI