Ni nyoka gani mkubwa kuliko wote duniani

Ni nyoka gani mkubwa kuliko wote duniani

Kobra mtoe hapo ni ligi ndogo ukimweka na kina chatu na anakonda....
Ila anakonda ndio baba lao
Unataka kujua ni nyoka yupi mkubwa ama tishio zaidi kuliko wengine?
Anaweza kuwa mkubwa asiwe tishio sana,
kwa tishio KOBOKO msikieni tu.
Hao akina anaconda au chatu wanaweza kuua ng'ombe mmoja au wawili lakini KOBOKO anaua hata ng'ombe 1,000
 
Unataka kujua ni nyoka yupi mkubwa ama tishio zaidi kuliko wengine?
Anaweza kuwa mkubwa asiwe tishio sana,
kwa tishio KOBOKO msikieni tu.
Hao akina anaconda au chatu wanaweza kuua ng'ombe mmoja au wawili lakini KOBOKO anaua hata ng'ombe 1,000
Mada yupi ni mkubwa boss si vinginevyo.na huyu koboko kuua ng'ombe 1000 ni theoretical, labda atemee sumu yake kwenye maji ya kunywa ng'ombe.
 
Kuna vijiji havina shida,
Ila stori za CHUNYA hatar
Siyo chunya tu, vijiji vya mkoa wa morogoro vilovyozungukwa na milima ya uluguru yenye misitu minene kama vile kinole, kibungo, chamanyani acha kabisa. na vijiji vilivyozungukwa na mbuga ya selous game reserve, magogoni, kongwa,kisaki,huko ni shida tupu.
 
IMG_0854.JPG
Ni wazuri sana wote!
 
Kwa muda mrefu nasikia majina tofauti tofauti ya nyoka na sifa zake,hatari zake...lakini je ni yupi ndio kiboko ya yote...yaani funga kazi.anapatikana wapi

Wanasifika sana ni kama vile
Koboko,chatu,cobra,anakonda,futu, n.k

Tujuzane kidogo wakuu
Ibilisi ndio funga kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom