Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,803
- 2,884
Sure nilisema nilikua nabembeleza mtu kwa kila kitu kanikataa hadharani.Hahahah sometimes hardships zipo ili tukue. Changamoto uliopitia ilikuwa ni kukutenganisha na umaskini. Now utainjoy mama kali utakavyo sababu wanachokipenda si unacho!
Bora nijipambanie mwenyewe tu nitapata furaha mbeleni tu nilibadili lifestyle kiujumla kazini ghetto naaangalia nini kinahitajika hiki kile nasema wacha nipambane baadae kweli furaha yangu ikawa kwangu tu nakula nakunywa navaa naishi paukweli
Wakaanza kujileta wenyewe piga mama za kutosha