Ni Makosa makubwa Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais

Ebu jaribu pitia tena nini amekiandika kwanza mkuu
Sasa unahoji uwezo wangu wa kuelewa ninachokisoma na kukijibu au siyo?

Ninapoamua kujibu andiko hapa jukwaani, ujue nimekwishalielewa ipasavyo.

Hili unalong'ang'ania hapa ni kwamba huyo mleta mada anamaslahi katika mambo anayomlaumu juu yake Makamu wa Rais.

Tumejadili kwa kiungwana hadi hapa tulipofikia, lakini sitegemei uhoji uelewa wangu tena juu ya ninayoyaeleza.
 
Sasa unahoji uwezo wangu wa kuelewa ninachokisoma na kukijibu au siyo?

Ninapoamua kujibu andiko hapa jukwaani, ujue nimekwishalielewa ipasavyo.

Hili unalong'ang'ania hapa ni kwamba huyo mleta mada anamaslahi katika mambo anayomlaumu juu yake Makamu wa Rais.

Tumejadili kwa kiungwana hadi hapa tulipofikia, lakini sitegemei uhoji uelewa wangu tena juu ya ninayoyaeleza.
Mkuu sio kwamba napima kiwango Chako Cha uelewa, ila kupitiwa kupo pia , naomba usinitafakari vibaya, binafsi ni mtu napenda Sana jibizana na mtu kiungwana ,unaweza jaribu pitia post zangu,
 
Mkuu sio kwamba napima kiwango Chako Cha uelewa, ila kupitiwa kupo pia , naomba usinitafakari vibaya, binafsi ni mtu napenda Sana jibizana na mtu kiungwana ,unaweza jaribu pitia post zangu,
Basi tuyamalize hapa hapa.

Binafsi sishawishiwi na tuhuma alizoweka mleta mada kwa mlengwa, na hasa anapomweka kundi moja na vichaa kama Sabaya.
Hitimisho langu linabaki palepale, kwamba msukumo wa mada ni chuki, pengine kutokana na aliyokumbana nayo katika shughuli zake binafsi.
 
Tatizo ni CCM.
Wapo Watanzania wengi ambao walikuwa wanafanya vyema kabla ya kuingia CCM.
Ukiingia kwenye hilo kundi la kinyang'anyi,lazima ubongo wako uuache nnje maana hauhitajiki huko.
 
Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.

Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.

Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.

Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?

Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
Na raisi wako ndie alikuwa makamu, kwa hiyo kumsema Mpango pekee yake ni kumuonea.
 
Ccm ukiwabinya kwenye mshono wanakuaga wakali Kama simba au faru, mtoa mada amehoji Kama sio kueleza , Sasa nyie CCM badala ya kumjibu kwa hoja, mko kutukana , kukebehi ili mtoa mada atoke kwenye reli.

JIBUNI POINT ZAKE KWAMBA ,Je? Mh makam, alistahili cheo hicho Kama ndio shusha hoja zako maana mtoa mada amekataa Kwamba hakustahili tokana na hoja zake,
Hakuna mwana Ccm mwenye kuifahamu Ccm yake ,atakae hoji umakamu wa Rais wa bwana huyo. Waliyo muweka walifanikiwa lengo lao kwa .

Kumbuka huyo alikua bwana fedha .hakuna shaka nae alilamba mgao kwa zile ,
zilozo chotwa baada ya jiwe ku Pass way.
 
Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.

Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.

Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.

Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?

Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
Unamuachaje aliyekuwa makamu wa rais?
 
naunga mkono hoja kwa asilimia zote hongera sana tunahitaji vijana kama nyinyi
 
Huyo ni raia wa Burundi. Hana sifa. Mwulize ndugu zake wa ukoo walipo.
 
Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.

Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.

Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.

Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?

Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
Una ka point lakini!
 
Makamu wa Rais anaingia katika Baraza la Mawaziri na Katika Baraza la Usalama wa Taifa. Whata power do you wish them to have? Maanake kule ndio wako huru kusema hata yasimpendeza boss wao. Na makamu wa Rais yuko huru. Hatenguliwi na Rais kirahisi kwa hiyo yuko huru kusema yasiyomfurahisha boss.
Wanamshambulia Mpango kwa sababu pengine anaweka kiwingu kwa baadhi ya mambo yao yenye manufaa binafsi.
Hata ulinzi kwa VP naona kama umeongezeka hivi karibuni.
When it comes to POWER, Makamu wa Rais ni mkata utepe, kushughurika na mazingira and a bit Muungano. Waziri anayo mamlaka ambayo automatically yanayo impact moja kwa moja kwa umma.
 
Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.

Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.

Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.

Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?

Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
Kwani awamu ya tano na ya sita ni serikali mbili zinazotokana na vyama viwili tofauti?.
 
Nani atakuwa na muda wa kushiriki uchaguzi wa kihanithi? Kama tume ya uchaguzi na katiba ni hii hii, usitegemee wanaume tunaojitambua kushiriki huo ukhanithi. Labda yatokee machafuko lakini sio kwenda kupanga mstari boss.
Dhalimu wako hayupo na mungu wako alikuondolea yule muovu sasa kwanini usishiriki uchaguzi?
 
Tup
Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.

Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.

Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.

Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?

Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
Tupe mbadala acha chuki nakigoma jamaa Mara kadha hakutaka nguvu na alitamani kujiudhuru lakini kunamtu alikuwa amemkalia kooni kama angefanya hivyo
 
Back
Top Bottom