Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kumekua na ongezeko kubwa la vyuo vya elimu ya juu, tofauti na idadi tuliyokuwa nayo mpaka miaka ya 90. Licha ya elimu nje ya bara la Afrika, kuna waliobahatika kupata elimu ya juu katika nchi za Afrika hususan Makerere Uganda, Kenyata Kenya, Afrika ya Kusini, Nigeria, Misri, Botswana.
Hizi ni baadhi tu ya nchi zinazochukua kwa wingi wanafunzi kutoka nje ya nchi zao. Wanafunzi wanapokwenda kusoma huongeza pato la taifa kuanzia mishahara ya watumishi wa chuo na hata mzunguko wa pesa katika mahitaji yao ya kila siku.
Hiki kinaweze kuwa chanzo kungine cha mapato badala ya kumkamua mwanachi kwa ongezeko la kodi kila uchao.
Hizi ni baadhi tu ya nchi zinazochukua kwa wingi wanafunzi kutoka nje ya nchi zao. Wanafunzi wanapokwenda kusoma huongeza pato la taifa kuanzia mishahara ya watumishi wa chuo na hata mzunguko wa pesa katika mahitaji yao ya kila siku.
Hiki kinaweze kuwa chanzo kungine cha mapato badala ya kumkamua mwanachi kwa ongezeko la kodi kila uchao.