Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

Nasisitiza kuwa toka tupate uhuru, kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hadi Magufuli, wote waliwasikiliza wananchi na kutatua kero zao. Kuna migogoro ambayo kiutatuzi lazima imfikie Rais au inahitaji utatuzi kutoka kwake. Ndo maana utaratibu toka zamani, kukiwa na jambo limeshindikana Mkuu wa Mkoa huto kibali cha mwenye malalamiko au mgogoro kumuona Rais, kama ametembelea mkoa huo au mlalamikaji kwenda Ikulu.
Nakumbuka kipindi cha mzee ruksa, kila mwezi alitenga siku ya kuwasikiliza wananchi Ikulu. tena alisisitiza anataka watu wa hali ya chini ambao wanamigogoro au malalamiko yaloshindikana. Na toka mikoani ilisisitizwa Ofisi au wakuu wa mikoa kuhakikisha watu wenye malalamiko wanafika kuonana na Rais Ikulu.
Nyerere yeye walienda hadi nyumbani kwake, Msasani au Butiama kufikisha malalamiko na aliwasikiliza. Rais Kikwete alikuwa huru popote alipo kuwa anamsikiliza mtu yoyote hata iwe Msoga.
Mama yetu tafadhali, litazame hili kwa namna nyingine. Hawa ndo waliokuchagua. Ukisema unawawakilishi, basi waachie kila kitu kwani tunajua Rais unawawakilishi kila sekta na kila sehemu weye kaa tu Ikulu ule na kulala. Hadi Bungeni unawawakilishi basi usingeenda kuhutubia Bungeni kwani Waziri Mkuu yupo anae wakilisha serikali pia kuna mawaziri bila kumsahau Waziri anae tetea serikali Mama JenisterMhagama!
Stupidity at it's highest level, hebu rudia kusoma uozo ulioandika na ujitathmini uwezo wako kiakili.
 
Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,

ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,

kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi


tunakupenda sana

asante sana

mitano tena✋
Ukiacha ziara za ratiba ya kampeni za 2020, ruti za Magufuli zIlikuwa ni zile zile kila Mwaka.

Anaanza DSM- Moro anaweza simama Kimara akatukana weee akaondoka

Then Moro- Dodoma, anajichekesha pale Msamvu halafu anasimama Dumila kula mahindi.

Baada ya siku mbili Dodoma anaanza kwenda Singida.

Then Singida -Kahama kupitia Nzega, anajichekesha na kuanza kuongea kisukuma mpaka kufika Chato

Baada ya hapo wakati wa kurudi anapita Geita ukweni na Sengerema halafu Mwanza kuangalia miradi yake.

Magufuli siyo kwamba alikuwa anatatua matatizo ya hao mnaoitwa wanyonge, bali kutokana na betri aliyokuwa amewekewa kufuani alikuwa mwoga wa kupanda ndege. Usafiri wake ukawa wa barabara, as such akaonekana anatembelea kutatua matatizo ya wananchi.

Endeleeni kuamini MAUJINGA yake, Ila werevu waliyazika Chato pamoja na mwili wake. Tuko na maisha mapya na Rais SSH
 
Mwinyi hakuwasubiri tu Ikulu, aliwafuata pia ktk ziara zake. Hatuhitaji ushabiki usio na manufaa au kujikomba. Mama si malaika, dhamana kapewa na watanzania, tuna haki ya kumkosoa anapokosea, hata yeye karuhusu kukoselewa. Hizi siasa za upambe Tanzania ndo zimeharibu nchi hii.
Swala si awamu ya 6 hata ingekuwa ya kumi. Tunataka kuona kinachotendeka kinaifanya nchi yetu ipige hatua. Si porojo na maneno yenye sukari, wakati nchi inabaki pale pale. Tunataka kuona kazi inafanyika. Kero mbalimbali zinaisha. Miradi inasonga mbele.
Swala la kusema najuaje labda atawakaribisha Ikulu, yeye mwenyewe alitamka hataki kusikia kero za wananchi zinamfikia. Hukumu itakuja 2005 na msishangae upinzani ukachukua nchi kama kweli watapata mtu sahihi, kwa wakati sahihi.
Wapiga kula wengi wa nchi hii ni watu wa hali ya chini. Ili ufanikiwe teka mioyo yao.
Ndugu umepaniki!
Unayefanya siasa za ushabiki na upambe ni wewe! Mama hana miezi miwili unataka azunguke, hajaapisha MaRC wala MaDC, unataka kumpelekesha, kisa una mkopo, unategemea per diem za safari. POLE! 😂
Wanufaika wa misafara ya Dar Geita!
Mama kishawapa mamlaka na madaraka wasaidizi wake, watatue matatizo ndiyo maana anawaamini hakuna shida zitamfikia yeye binafsi atatue.

Hukumu inakuja 2005...hukumu juu ya makosa gani?? Time travelers!
Wapiga kula ndiyo kina nani hao??

Everyday is Saturday..............................:cool:
 
Stupidity at it's highest level, hebu rudia kusoma uozo ulioandika na ujitathmini uwezo wako kiakili.
Stupidity stays in the brain of someone like you, to whom with his or her mind, think is smart! Due to low mind and capacity to grasp what is narrated!
Uvivu wa kufikiri na kusoma kwa undani umjengea mtu roho ya matusi kwani anakuwa anatafuta defence. Kabla hujatukana jitazame wewe kwanza, akili yako inakuruhusu kutukana? Ukiona inakuruhusu nawe ukatukana basi wewe na akili yako kunatatizo la ulewa.
 
Zama za giza,kiki na propaganda zimepita.

Rais ana deal na mambo makubwa ya Nchi.
Huko kwenu kuna kero gani inayomhitai Rais ambayo Watendaji wameshindwa kuitatua?

Yaani Rais aende kuzurura mitaani kuzungumzia stand na vyoo? Mko serious nyie?

Hivi unaelewa maana ya raisi? Unaelewa kazi za raisi? , mnaanza kujikosha mapema kwa kuwa mshajua kaanza kuaribu
 
Mambo gani makubwa unayodhani zaid ya kuwatumikia wananchi. Kuingia mikataba ya Gesi au? Rais ni Rais wa watu si Rais wakusafiri bila kuona tija ya safari zake. So unataka azurure mitaa ya Karen, Mombasa, Kasarani na si mitaa ya nchi yake! Ha ha ha!

Tanzania tumepata loss kubwa this time ila tunaelewa Coz kiongozi tuliyempata imekua tu bahati mbaya hakua chaguo letu, tuvumilien tu 2025 si mbali
 
Ukiacha ziara za ratiba ya kampeni za 2020, ruti za Magufuli zIlikuwa ni zile zile kila Mwaka.

Anaanza DSM- Moro anaweza simama Kimara akatukana weee akaondoka

Then Moro- Dodoma, anajichekesha pale Msamvu halafu anasimama Dumila kula mahindi.

Baada ya siku mbili Dodoma anaanza kwenda Singida.

Then Singida -Kahama kupitia Nzega, anajichekesha na kuanza kuongea kisukuma mpaka kufika Chato

Baada ya hapo wakati wa kurudi anapita Geita ukweni na Sengerema halafu Mwanza kuangalia miradi yake.

Magufuli siyo kwamba alikuwa anatatua matatizo ya hao mnaoitwa wanyonge, bali kutokana na betri aliyokuwa amewekewa kufuani alikuwa mwoga wa kupanda ndege. Usafiri wake ukawa wa barabara, as such akaonekana anatembelea kutatua matatizo ya wananchi.

Endeleeni kuamini MAUJINGA yake, Ila werevu waliyazika Chato pamoja na mwili wake. Tuko na maisha mapya na Rais SSH

Ipo siku utasoma tena uzi wako halafu utaanza kuona aibu wewe mwenyewe. Time will tell
 
Sio lazima maziala Mana pia alisema anafutilia mitandao yakijamii ambayo malanyingi huibua changamoto za jamii.ndio wakati wa wetu wana mitandao kubainisha kelo mbalimbali maana Raisi anafatilia mitandao.
 
Sio lazima maziala Mana pia alisema anafutilia mitandao yakijamii ambayo malanyingi huibua changamoto za jamii.ndio wakati wa wetu wana mitandao kubainisha kelo mbalimbali maana Raisi anafatilia mitandao.
Kwa style hiyo anaweza kuja kuiona Tz iliyotofauti na uhalisia.
 
Lengo la mwendazake ilikuwa ziara kutembelea wananchi wake issues zikiibuka pale anapokuwepo, tusitake kumuweka Mama mbali na wananchi wake ili mwisho wa siku tumshambulie, ni vema tumsadie kama kweli tuna nia ya kumsaidia.

Pale Hai 2020 kwenye kampeni Mbowe aliulizwa na wananchi wake tokea kampeni za 2015 ndo umekuja tena 2020 kufanya mkutano wa kuomba kura, ulikuwa wapi? Tulikuchagua ili iweje? Lakini mwisho wa siku Mbowe akaishia kuwaita wale wananchi kuwa walitumwa waje kuharibu mkutano wake.
Tanzania ya watu milioni 60 utakuwa na uwezo wa kusikiliza watu wangapi? Kumbuka hata Mzee Mwinyi alipomrithi Mwalimu Nyerere alitenga siku maalum nakumbuka kila ijumaa kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi mpaka Mwalimu Nyerere alimshauri kuwa hataweza atashindwa majukumu mengine na hata maandiko yanasema Musa alipata shida Sana kwa kutaka kufanya kazi zote peke yake mkwe Yethro akamshauri atafute watu wa kumsaidia.Kutoka 18:14-27
 
Tukubali tu awamu hii imekuja bahati mbaya, tujipange tena 2025 kumchagua raisi tunayemtaka. Magufuli ametufungulia njia we can now tell a good leader and the worse one, magu katuamsha usingizin
Acha ulimbukeni nchi gani duniani Raisi kukaa anazunguka hujui hata usalama wake unakua mdogo watanzania mbona tunakua wajinga hivi pia nani asiejua hata moja ya sababu ya kifo cha mzee wa Chato nikukaa anazunguuka bilakujali gonjwa linloisumbua dunia Kwa sasa.
 
Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Kama unaumia sana kawe wew Rais, unataka ajifungie kama Jiwe lako?
 
Back
Top Bottom