nacho1
Member
- Aug 31, 2014
- 80
- 65
Unapokutana na fikra za kijana wa Tanzania mwenye smartphone na anauwezo wakuingia JF anaandika hivi inatia kinyaa sana. Tena inawezekana na kasoma hadi chuo kikuu.Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena
Raisi hata angekua anasikiliza kero za wananchi elfu moja kwa siku kwa hiyo miaka mitano asingewamaliza watanzania wote. So taratibu za kutatua kero zipo zifuatwe ikishindikana mahakama zipo.
Raisi anatakiwa adeal na mambo makubwamakubwa sio petty issues za vibanda vya masoko sijui choo cha stand nooo. Raisi anadeal na taasisi anadeal na mataifa na kuwapa mrejesho wananchi kwa ujumla kupitia hotuba na sio kudeal na mwananchi mmoja mmoja. Sawa kijana?