witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Yaan ni wa ovyoo kabisa mkuuUnapokutana na fikra za kijana wa Tanzania mwenye smartphone na anauwezo wakuingia JF anaandika hivi inatia kinyaa sana. Tena inawezekana na kasoma hadi chuo kikuu.
Raisi hata angekua anasikiliza kero za wananchi elfu moja kwa siku kwa hiyo miaka mitano asingewamaliza watanzania wote. So taratibu za kutatua kero zipo zifuatwe ikishindikana mahakama zipo.
Raisi anatakiwa adeal na mambo makubwamakubwa sio petty issues za vibanda vya masoko sijui choo cha stand nooo. Raisi anadeal na taasisi anadeal na mataifa na kuwapa mrejesho wananchi kwa ujumla kupitia hotuba na sio kudeal na mwananchi mmoja mmoja. Sawa kijana?