Ni kweli hali ya maisha imekuwa ngumu, na pia ni kweli hizi tozo hazikubaliki, sasa wananchi tuseme kwa vitendo imetosha

Mtu anafanya biashara kila akifunga anapeleka hela bank then kesho anaenda kuitoa anakatwa chaji za kutoa benki, VAT na tozo unategemea huyu mtu ataendelea kuweka pesa benki?

Kila akifanya transfer kulipa suppliers the same,tuwe serious basi na maisha ya watu.
 
Mtu anafanya biashara kila akifunga anapeleka hela bank then kesho anaenda kuitoa anakatwa chaji za kutoa benki,VAT na tozo unategemea huyu mtu ataendelea kuweka pesa benki?

kila akifanya transfer kulipa suppliers the same,tuwe serious basi na maisha ya watu
Sijui Rais Samia kaziba masikio
 
Wana kiburi, wanasema "tozo tumeweka mtatufanya nn??"

Kama wananchi wa nchi hii tungekuwa na meno dhidi ya watawala wangeacha wizi huu. Tozo ni wizi. Serikali inapaswa kukusanya kodi tu na siyo tozo
 
Sensa iharishwe, hela ifidiwe kwenye tozo.nchi italipuka. Watatucheka duniani.
 
Hizo tozo na Kodi ndio zinazojengwa vituo vya Afya, shule, zahanati, huduma za maji,umeme Hadi vijijini, kwa hiyo lazima ujuwe kuwa hata ulaya walipitia huku, Hakuna njia fupi katika kupata maendeleo, watanzania wametulia na wanaendelea kumuunga mkono mh Rais kwa kuwa tunaona maendeleo yanayoletwa na mh Rais,

Lazima tuanze kujitegemea wenyewe kwa kuhakikisha kuwa tunachangia maendeleo yetu wenyewe, Tusipende kujirundikia mimadeni tu, maana madeni Ni mzigo na yanaleta utumwa, tujifunge mikanda na tujibane ili kujenga nchi yetu,

Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza akaandamana wakati anaona namna mh Rais anavyo fanya kazi usiku na mchana kuijenga nchi hii na kuinua maisha ya watu, hakuna wa kuandamana wakati anaona tozi hizo zikielekezwa katika miradi ya maendeleo, hakuna wa kuandamana wakati kila mtu anaona namna mh Rais alivyo tanguliza maslahi ya Taifa kwa kuhakikisha kuwa kila sent inayopatikana Ina kwenda kuwekezwa mahali penye kero kwa watu

Wananchi tupo na mh Rais na tunaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu, tunaendelea kuona namna anavyo gusa maisha ya watu wote, tunaona namna mh Rais anavyo fanya kazi kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeachwa nyuma
 
Hizo tozo na Kodi ndio zinazojengwa vituo vya Afya, shule, zahanati, huduma za maji,umeme Hadi vijijini, kwa hiyo lazima ujuwe kuwa hata ulaya walipitia huku, Hakuna njia fupi katika kupata maendeleo, watanzania wametulia na wanaendelea kumuunga mkono mh Rais kwa kuwa tunaona maendeleo yanayoletwa na mh Rais,

Lazima tuanze kujitegemea wenyewe kwa kuhakikisha kuwa tunachangia maendeleo yetu wenyewe, Tusipende kujirundikia mimadeni tu, maana madeni Ni mzigo na yanaleta utumwa, tujifunge mikanda na tujibane ili kujenga nchi yetu,

Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza akaandamana wakati anaona namna mh Rais anavyo fanya kazi usiku na mchana kuijenga nchi hii na kuinua maisha ya watu, hakuna wa kuandamana wakati anaona tozi hizo zikielekezwa katika miradi ya maendeleo, hakuna wa kuandamana wakati kila mtu anaona namna mh Rais alivyo tanguliza maslahi ya Taifa kwa kuhakikisha kuwa kila sent inayopatikana Ina kwenda kuwekezwa mahali penye kero kwa watu

Wananchi tupo na mh Rais na tunaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu, tunaendelea kuona namna anavyo gusa maisha ya watu wote, tunaona namna mh Rais anavyo fanya kazi kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeachwa nyuma
Tupunguze kukopa nje ili tozo zipungue..nchi inalazimika kuweka tozo nyingi ili kuonesha uhimilivu wa kurejesha madeni
 
wazo lako ni zuri ila huyo anayewaongoza kuendelea kumuit!a Mama ni kuendelea kumfanya awe zwazwa zaidi
cha muhimmu ni kumtimbia tu ofisini kwake kama wenzetu wa sirilanka
 
Mtu anafanya biashara kila akifunga anapeleka hela bank then kesho anaenda kuitoa anakatwa chaji za kutoa benki,VAT na tozo unategemea huyu mtu ataendelea kuweka pesa benki?

kila akifanya transfer kulipa suppliers the same,tuwe serious basi na maisha ya watu
Wasukuma mnapata tabu sana, sasa Jiwe yeye alikuwa akikuta pesa zako bank anachukua nusu yake ila wewe unalia na katozo. Pole mkuu
 
Back
Top Bottom