GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,638
- 109,003
Kanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.
Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mengi na 2. Kutengwa na kuonekana hawana Umuhimu Serikalini huku Wengine wakiondolewa katika Nafasi / Nyadhifa zao illilazimika Akili Kubwa kutumika ili kuwarejesha katika Mstari.
Hivyo basi Kuteuliwa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu ni kwa Kimkakati zaidi ili amrahisishie Kazi Mama (Mheshimiwa Rais Samia) Kuaminika, Kukubalika na kupata Kura nyingi kutoka Kanda ya Ziwa yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa na Makabila yenye Maamuzi na Ushawishi wa Kisiasa kwa Tanzania.
Kampeni za 2025 zikianza tu Naibu Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko atatumiza kama Lifti Kuu ya Kumbeba Rais Samia ambaye no doubt kuwa atagombea Urais wa Kupigiwa Kura Yeye kama Yeye tofauti na ilivyo sasa ambapo GENTAMYCINE sioni Aibu au Uwoga kusema kuwa Yeye ni Rais Deiwaka tu akiwa amechukua nchi baada ya aliyekuwa Boss wake John Pombe Magufuli kututoka duniani / Kufariki mwaka 2021.
Kanda ya Ziwa yote mpaka Mikoa ya Jirani watakuwa Wanaambiwa Nichagueni Mimi nifanye Kazi na Mtoto wenu Dk. Dotto Biteko Jambo ambalo kwa Sayansi ya Siasa na kwa Mazingira yatakayokuweko pamoja na Ushawishi wa Kiproganda itamsaidia sana Mama na CCM yake Kuzoa Kura nyingi Kanda ya Ziwa na Mikoa Jirani.
Kwa kumalizia tu GENTAMYCINE naomba nichukue nafasi hii adhimu (in advance) kabisa Kumpongeza Dk. Dotto Biteko kwa kwenda kuwa Waziri Mkuu Kamili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania November, 2025 huku nikimuomba awe makini (tena kupita Maelezo) ili yale ya Marehemu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.
Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mengi na 2. Kutengwa na kuonekana hawana Umuhimu Serikalini huku Wengine wakiondolewa katika Nafasi / Nyadhifa zao illilazimika Akili Kubwa kutumika ili kuwarejesha katika Mstari.
Hivyo basi Kuteuliwa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu ni kwa Kimkakati zaidi ili amrahisishie Kazi Mama (Mheshimiwa Rais Samia) Kuaminika, Kukubalika na kupata Kura nyingi kutoka Kanda ya Ziwa yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa na Makabila yenye Maamuzi na Ushawishi wa Kisiasa kwa Tanzania.
Kampeni za 2025 zikianza tu Naibu Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko atatumiza kama Lifti Kuu ya Kumbeba Rais Samia ambaye no doubt kuwa atagombea Urais wa Kupigiwa Kura Yeye kama Yeye tofauti na ilivyo sasa ambapo GENTAMYCINE sioni Aibu au Uwoga kusema kuwa Yeye ni Rais Deiwaka tu akiwa amechukua nchi baada ya aliyekuwa Boss wake John Pombe Magufuli kututoka duniani / Kufariki mwaka 2021.
Kanda ya Ziwa yote mpaka Mikoa ya Jirani watakuwa Wanaambiwa Nichagueni Mimi nifanye Kazi na Mtoto wenu Dk. Dotto Biteko Jambo ambalo kwa Sayansi ya Siasa na kwa Mazingira yatakayokuweko pamoja na Ushawishi wa Kiproganda itamsaidia sana Mama na CCM yake Kuzoa Kura nyingi Kanda ya Ziwa na Mikoa Jirani.
Kwa kumalizia tu GENTAMYCINE naomba nichukue nafasi hii adhimu (in advance) kabisa Kumpongeza Dk. Dotto Biteko kwa kwenda kuwa Waziri Mkuu Kamili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania November, 2025 huku nikimuomba awe makini (tena kupita Maelezo) ili yale ya Marehemu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.