Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko ni Turufu Kuu ya Rais Samia katika kupata Kura nyingi za Kanda ya Ziwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,638
109,003
Kanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.

Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mengi na 2. Kutengwa na kuonekana hawana Umuhimu Serikalini huku Wengine wakiondolewa katika Nafasi / Nyadhifa zao illilazimika Akili Kubwa kutumika ili kuwarejesha katika Mstari.

Hivyo basi Kuteuliwa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu ni kwa Kimkakati zaidi ili amrahisishie Kazi Mama (Mheshimiwa Rais Samia) Kuaminika, Kukubalika na kupata Kura nyingi kutoka Kanda ya Ziwa yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa na Makabila yenye Maamuzi na Ushawishi wa Kisiasa kwa Tanzania.

Kampeni za 2025 zikianza tu Naibu Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko atatumiza kama Lifti Kuu ya Kumbeba Rais Samia ambaye no doubt kuwa atagombea Urais wa Kupigiwa Kura Yeye kama Yeye tofauti na ilivyo sasa ambapo GENTAMYCINE sioni Aibu au Uwoga kusema kuwa Yeye ni Rais Deiwaka tu akiwa amechukua nchi baada ya aliyekuwa Boss wake John Pombe Magufuli kututoka duniani / Kufariki mwaka 2021.

Kanda ya Ziwa yote mpaka Mikoa ya Jirani watakuwa Wanaambiwa Nichagueni Mimi nifanye Kazi na Mtoto wenu Dk. Dotto Biteko Jambo ambalo kwa Sayansi ya Siasa na kwa Mazingira yatakayokuweko pamoja na Ushawishi wa Kiproganda itamsaidia sana Mama na CCM yake Kuzoa Kura nyingi Kanda ya Ziwa na Mikoa Jirani.

Kwa kumalizia tu GENTAMYCINE naomba nichukue nafasi hii adhimu (in advance) kabisa Kumpongeza Dk. Dotto Biteko kwa kwenda kuwa Waziri Mkuu Kamili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania November, 2025 huku nikimuomba awe makini (tena kupita Maelezo) ili yale ya Marehemu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.
 
Mkuu nadhani huwajui vizuri watu wa kanda ya ziwa,, na usirudie kupotosha watu na kuwafanya wazubae na huo uteuzi,, sikia nikwambie neno,, zaidi ya 70% ya watu wa kanda ya ziwa ni wasukuma na kama ulivyosema hakuna kitu kinawaumiza kichwa kama kuondokewa na mpendwa wao kimazabe mazabe, (wasukuma kawaida huwa wanaamini kila kifo kina sababu za kutengenezwa na wanadamu,, huko hakuna kifo cha "mapenzi ya Mungu") na la pili kumbuka hakuna watu wenye ukabila kama wasukuma,, kuondolewa uwaziri wa ardhi Angelina Mabula kwao wanaona kama "dharau zimezidi" kama nilivyosema hawa watu wana ukabila sana huyo Biteko ni kabila gani,,?

Mimi ni msukuma upande wa mzazi mmoja na sipendi kuyaishi hayo lakini lazima niseme ukweli kwa namna ninavyowajua hawa ndugu zangu.
 
Amuomgeze na huyu kijana asiye na makuu, mchapa kazi, anaye heshimu viongozi wa juu yake, anaye pendwa na watu wote,
 
Amuomgeze na huyu kijana asiye na makuu,as mchapa kazi, anaye heshimu viongozi wa juu yake, anaye pendwa na watu wote, ambayw hutumia madaraka yake vizuri bila kuumiza watu
Pascal Mayalla
1694655775284.png
 
Mkuu nadhani huwajui vizuri watu wa kanda ya ziwa,, na usirudie kupotosha watu na kuwafanya wazubae na huo uteuzi,, sikia nikwambie neno,, zaidi ya 70% ya watu wa kanda ya ziwa ni wasukuma na kama ulivyosema hakuna kitu kinawaumiza kichwa kama kuondokewa na mpendwa wao kimazabe mazabe,, (wasukuma kawaida huwa wanaamini kila kifo kina sababu za kutengenezwa na wanadamu,, huko hakuna kifo cha "mapenzi ya Mungu") na la pili kumbuka hakuna watu wenye ukabila kama wasukuma,, kuondolewa uwaziri wa ardhi Angelina Mabula kwao wanaona kama "dharau zimezidi" kama nilivyosema hawa watu wana ukabila sana huyo Biteko ni kabila gani,,?

Mimi ni msukuma upande wa mzazi mmoja na sipendi kuyaishi hayo lakini lazima niseme ukweli kwa namna ninavyowajua hawa ndugu zangu,,
Kwani Magufuli alikuwa Msukuma? Mrundi anakuwaje Msukuma?

Halafu msijizime data, labda ya ziwa si ya wasukuma pekee, kuna Mara na Kagera, acheni kujipaisha kiboya.

Kama mnaamini Wasukuma mpo wengi daini Jamhuri yenu.
 
Kanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.

Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mengi na 2. Kutengwa na kuonekana hawana Umuhimu Serikalini huku Wengine wakiondolewa katika Nafasi / Nyadhifa zao illilazimika Akili Kubwa kutumika ili kuwarejesha katika Mstari.

Hivyo basi Kuteuliwa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu ni kwa Kimkakati zaidi ili amrahisishie Kazi Mama ( Mheshimiwa Rais Samia ) Kuaminika, Kukubalika na kupata Kura nyingi kutoka Kanda ya Ziwa yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa na Makabila yenye Maamuzi na Ushawishi wa Kisiasa kwa Tanzania.

Kampeni za 2025 zikianza tu Naibu Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko atatumiza kama Lifti Kuu ya Kumbeba Rais Samia ambaye no doubt kuwa atagombea Urais wa Kupigiwa Kura Yeye kama Yeye tofauti na ilivyo sasa ambapo GENTAMYCINE sioni Aibu au Uwoga kusema kuwa Yeye ni Rais Deiwaka tu akiwa amechukua nchi baada ya aliyekuwa Boss wake John Pombe Magufuli kututoka duniani / Kufariki mwaka 2021.

Kanda ya Ziwa yote mpaka Mikoa ya Jirani watakuwa Wanaambiwa Nichagueni Mimi nifanye Kazi na Mtoto wenu Dk. Dotto Biteko Jambo ambalo kwa Sayansi ya Siasa na kwa Mazingira yatakayokuweko pamoja na Ushawishi wa Kiproganda itamsaidia sana Mama na CCM yake Kuzoa Kura nyingi Kanda ya Ziwa na Mikoa Jirani.

Kwa kumalizia tu GENTAMYCINE naomba nichukue nafasi hii adhimu ( in advance ) kabisa Kumpongeza Dk. Dotto Biteko kwa kwenda kuwa Waziri Mkuu Kamili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania November, 2025 huku nikimuomba awe makini ( tena kupita Maelezo ) ili yale ya Marehemu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.
Siyo lazima Rais atoke Ccm, hizi ni akili za kijinga kabisa.
 
Siyo lazima Rais atoke Ccm, hizi ni akili za kijinga kabisa.
Wewe jamaa hapa jamiiforums huwa unajifanya una akili kuliko members wote ilhali kumbe ni miongoni mwa members wapumbavu mno na wa kupuuzwa.

Hivi kuna upinzani thabiti tanzania wa kuweza kuiondoa ccm madarakani? hayati baba wa taifa katika moja ya hotuba zake aliwahi kusema kwa upinzani dhaifu ulioko nchini siku ccm ikimtangaza mgombea wake huenda ikawa imeshantangaza rais ajaye. itafute ili ujiridhishe nayo.

Ni ushamba na Upumbavu kujiita dr fulani hapa jamiiforums wakati kichwani mwako kumejaa tu usaha na uchangiaji wako umejaa ushamba, ujivuni wa kijinga na story nyingi za vijiweni.

Badilika unaboa ila watu hawakuambii tu badala yake wanakunyamazia huku wakikusanifu na wewe kujiona mjanja na mjuaji wakati kumbe ni lofa na juha tu.
 
wewe jamaa hapa jamiiforums huwa unajifanya una akili kuliko members wote ilhali kumbe ni miongoni mwa members wapumbavu mno na wa kupuuzwa.

hivi kuna upinzani thabiti tanzania wa kuweza kuiondoa ccm madarakani? hayati baba wa taifa katika moja ya hotuba zake aliwahi kusema kwa upinzani dhaifu ulioko nchini siku ccm ikimtangaza mgombea wake huenda ikawa imeshantangaza rais ajaye. itafute ili ujiridhishe nayo.

ni ushamba na Upumbavu kujiita dr fulani hapa jamiiforums wakati kichwani mwako kumejaa tu usaha na uchangiaji wako umejaa ushamba, ujivuni wa kijinga na story nyingi za vijiweni.

badilika unaboa ila watu hawakuambii tu badala yake wanakunyamazia huku wakikusanifu na wewe kujiona mjanja na mjuaji wakati kumbe ni lofa na juha tu.
Heko Mkuu umemaliza kila Kitu hapa kwa hilo Juha na Kubwa Jinga ( KJ ) la hapa JamiiForums.
 
Back
Top Bottom