kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,392
Pamoja na makando kando yake, mzungu na atabaki kuwa rafiki wa kweli wa mtu mweusi ,hasa linapokuja swala la mahusiano ya mtu mmojammoja, we angalia watu wanaofanya kazi kwa wahindi, waarabi, wazungu wachina, utaona tofauti kwanzia kwenye mikataba na haki za haki za wafanyakazi
Wazungu hujali sana watanyakazi wao, nakumbuka kuna siku tulikuwa bar, kuna jamaaa alikuwa anaombaomba sana watu vinywaji, mzungu mmoja akaniuliza kwani huyu hafanyi kazi nikamjibu anafanya, akauliza tena so kwanini hana hela, nikamjibu sijui, akaniambia maliza kinywaji chako na twende polisi tukamshtaki boss wake, atakuwa anamzurumu huyu.
Wazungu hujali sana watanyakazi wao, nakumbuka kuna siku tulikuwa bar, kuna jamaaa alikuwa anaombaomba sana watu vinywaji, mzungu mmoja akaniuliza kwani huyu hafanyi kazi nikamjibu anafanya, akauliza tena so kwanini hana hela, nikamjibu sijui, akaniambia maliza kinywaji chako na twende polisi tukamshtaki boss wake, atakuwa anamzurumu huyu.