Elevenn
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 9,775
- 19,442
Hivi mtu Ulisikia neno ngono, nini cha kujia kichwani.....
Wengi husema ni kufanya tendo la ndoa, bila ya Koa au kuolewa sio?
Ni umalaya, ni kuharibu utaratibu, kuchepuka, uzinzi
Ngono imekuwa kitu kibaya sana...
Wengi tume I demonize ngono. Imekuwa kama means to an end, watu hatufurahii ngono kabisa.
Je, kuna ukweli ndani yake? Katika maisha halisi na ugwadu wa kila leo ngono hii ambayo iko demonized ina epukika? No matter kweli watu wanafanya wanavyofanya because hawana uhuru kujua kuwa ngono ni kitendo huru kabisa, kama mmeridhiana kufanya?
Sijasema nahalalisha malaya, kuchepuka wala uzinzi. Nazungumzia healthy aspect ya ngono..
Kwa nini kuna judgements linapokuja swala la mtu kufanya ngono, hasa kama haiba ya yule mtu ni kubadili wanawake kama njugu. Si uhuru wake?
Wengi husema ni kufanya tendo la ndoa, bila ya Koa au kuolewa sio?
Ni umalaya, ni kuharibu utaratibu, kuchepuka, uzinzi
Ngono imekuwa kitu kibaya sana...
Wengi tume I demonize ngono. Imekuwa kama means to an end, watu hatufurahii ngono kabisa.
Je, kuna ukweli ndani yake? Katika maisha halisi na ugwadu wa kila leo ngono hii ambayo iko demonized ina epukika? No matter kweli watu wanafanya wanavyofanya because hawana uhuru kujua kuwa ngono ni kitendo huru kabisa, kama mmeridhiana kufanya?
Sijasema nahalalisha malaya, kuchepuka wala uzinzi. Nazungumzia healthy aspect ya ngono..
Kwa nini kuna judgements linapokuja swala la mtu kufanya ngono, hasa kama haiba ya yule mtu ni kubadili wanawake kama njugu. Si uhuru wake?