Ngono: Kwanini tumei-demonize?

Ngono: Kwanini tumei-demonize?

Ngono aka sex ni swala la KIBAIOLOJIA.
Existence ya binadamu kwenye uso wa dunia inabebwa na SEX………….. Namaanisha viumbe vyote hai duniani ni REPRODUCTION aka SEX ndio inafanya waendelee kuwepo Duniani.

Na ndio maana Jambo hili NATURE imetoa UMUHIMU mkubwa kwa kuwa na kitu kinaitwa SEX DRIVE

Ni vile tu binadamu tumekua na INTELLIGENCE ya juu hadi tmeweza kubaini mfumo mzima unavyo fanya kazi na tumeweza kufanya SEX kuwa ni STAREHE tu bila REPRODUCTION na ndio maana hizo nadharia zinazaibuka

Nirahisi kudhani SEX imekua OVERRATED lakini angalia hata viumbe wengine wanavyo fight even to death ili tu kupata access ya SEX

kwa binadamu mifumo ya maisha imebadilika hivyo sheria, dini, tamaduni nk vikaanza kufanya access ya ngono kuwa ngumu kwa sababu hapo awali watu walikua wanauana sana kwasababu hiyo

Kwa mfano kwa sasa kijana anabalehe na miaka 14 hapo anakua shule, SEX DRIVE ipo juu lakini haruhusiwi kui practice
Atakwenda hivyo hadi atakapofika chuoni na miaka 22 hapo ndio anakua angalau HURU kufanya SEX.
Miaka yote hiyo toka BALEHE hadi kuwa HURU anakua ame FANTASIES sana SEX

Kosa kubwa sana mtu uki FANTASIES sex maana ukijumlisha na SEX DRIVE inakua balaa kabisa 😂

So next time UKISIKIA NYEGE ujue it’s nature’s calling for REPRODUCTION
 
Ngono aka sex ni swala la KIBAIOLOJIA.
Existence ya binadamu kwenye uso wa dunia inabebwa na SEX………….. Namaanisha viumbe vyote hai duniani ni REPRODUCTION aka SEX ndio inafanya waendelee kuwepo Duniani.

Na ndio maana Jambo hili NATURE imetoa UMUHIMU mkubwa kwa kuwa na kitu kinaitwa SEX DRIVE

Ni vile tu binadamu tumekua na INTELLIGENCE ya juu hadi tmeweza kubaini mfumo mzima unavyo fanya kazi na tumeweza kufanya SEX kuwa ni STAREHE tu bila REPRODUCTION na ndio maana hizo nadharia zinazaibuka

Nirahisi kudhani SEX imekua OVERRATED lakini angalia hata viumbe wengine wanavyo fight even to death ili tu kupata access ya SEX

kwa binadamu mifumo ya maisha imebadilika hivyo sheria, dini, tamaduni nk vikaanza kufanya access ya ngono kuwa ngumu kwa sababu hapo awali watu walikua wanauana sana kwasababu hiyo

Kwa mfano kwa sasa kijana anabalehe na miaka 14 hapo anakua shule, SEX DRIVE ipo juu lakini haruhusiwi kui practice
Atakwenda hivyo hadi atakapofika chuoni na miaka 22 hapo ndio anakua angalau HURU kufanya SEX.
Miaka yote hiyo toka BALEHE hadi kuwa HURU anakua ame FANTASIES sana SEX

Kosa kubwa sana mtu uki FANTASIES sex maana ukijumlisha na SEX DRIVE inakua balaa kabisa 😂

So next time UKISIKIA NYEGE ujue it’s nature’s calling for REPRODUCTION
Facts umeongea kibaiolojia na ndivyo kila kiumbe hufanya. What once seemed as a survival practice is now controlled, which by the way has its positive outcomes too....

Making humans effective and efficient, but again it has na made humans go for it in a means to and end perspective.

Also you talked about it being for pleasure, I see it as good too, because when done correctly it leads to long lasting satisfaction to both partners
 
Back
Top Bottom