Ngono: Kwanini tumei-demonize?

Ngono: Kwanini tumei-demonize?

Ngono ni kama kufanya matendo mengine ya mwili kama kula,kunya,kunywa etc
lakini tendo limepewa uzito wa ajabu 😏😏
Hakika na jamii bado haina utambuzi kuona kwa mapana namna jambo hili ndo sababu ya matatizo mengi yatokanayo na ngono,

Tunajaribu kuifanya ngono kuwa ndo chanzo cha matatizo wakati, ni watu husika kukosa elimu, kuwa maskini, kukosa uhuru na kufanya ngono kama sehemu ya kutafta pesa.
 
Hakika na jamii bado haina utambuzi kuona kwa mapana namna jambo hili ndo sababu ya matatizo mengi yatokanayo na ngono,

Tunajaribu kuifanya ngono kuwa ndo chanzo cha matatizo wakati, ni watu husika kukosa elimu, kuwa maskini, kukosa uhuru na kufanya ngono kama sehemu ya kutafta pesa.
Ngono imepewa hadhi ya kuogofya hata kulitamka tu ukakasi sana ili hali watu wanalipenda sana 😂
 
Si mbaya kwamba huoni madhira yake mitaani au umelewa mkuu
Watoto wa mtaani
Wanafunzi kukatishwa ndoa zao
Uti sugu,gono,HIV,fake relationships na kumbe HI
Nakazia it's like ushetani

Watu wazima wawili mpo uchi mna Hangaika kama wehu
Just imagine hata na wewe vile jitu linabilingika just to cum
 
Na waelewa sana wakuu, ila Je tatizo ni kitendo cha ngono au mindset ya wale wafanyao ngono?
 
Viumbe vyote chini ya jua vinajamiana ni tendo la lazima
wewe na mimi ni matokeo ya wazazi wetu kujamiana au kufanya ngono ndio tukazaliwa

kasome biology.
 
Back
Top Bottom