Ngono: Kwanini tumei-demonize?

Ngono: Kwanini tumei-demonize?

Kwenye hili swala hakuna mchungaji, Katekista, shekhe wala mtoa huduma na nasaha atakayenipangia
Mizuka ikipanda naruka na yeyote wa level yangu yeyote, siku nikipata wa kuoa (kama wapo lakini) ndo ntatuliza dudu
Karne ya 21 propaganda za dini na siasa zinafanya kazi kwa wachache
Kwa maFree thinker hazina kazi tunazichungulia kwa mbaali zinavyowawehusha brainwashed mpaka huruma
Hahaha ila pia kumbuka molarity aspect ya maamuzi unayo Fanya. Hauwezi kuruka na mtoto wa mtu aliye chuoni na ukaharibu ndoto zaake
 
38660.jpg


Inasikitisha sana
 
Ni kwasababu ya dhana potofu tukio jiwekea
Sio dhana potofu hata tu kwa ustawi binafsi unalazimika kujitenga na ngono kwa kipindi fulani,kukwepa gharama,magonjwa na kuokoa muda na mimba zisizo tarajiwa lakini ndio hivyo sex desire is uncomfortable kwa tulio wengi ndio maana ngono haikubaliki na jamii japo inafanyika
 
Sio dhana potofu hata tu kwa ustawi binafsi unalazimika kujitenga na ngono kwa kipindi fulani,kukwepa gharama,magonjwa na kuokoa muda na mimba zisizo tarajiwa lakini ndio hivyo sex desire is uncomfortable kwa tulio wengi ndio maana ngono haikubaliki na jamii japo inafanyika
Inafikirisha...
Ustawi binafsi unawezaje kutwnguliwa na ngono... Sijasema uraibu wa ngono amabo kweli una madhara.

Sex desire Sidhani kama ni mbaya ila connotation behind maana yake. Dini nyingi haziruhusu kutamani na hiyo pia huchangia
 
Inafikirisha...
Ustawi binafsi unawezaje kutwnguliwa na ngono... Sijasema uraibu wa ngono amabo kweli una madhara.

Sex desire Sidhani kama ni mbaya ila connotation behind maana yake. Dini nyingi haziruhusu kutamani na hiyo pia huchangia
Si mbaya kwamba huoni madhira yake mitaani au umelewa mkuu
Watoto wa mtaani
Wanafunzi kukatishwa ndoa zao
Uti sugu,gono,HIV,fake relationships na nk
 
Si mbaya kwamba huoni madhira yake mitaani au umelewa mkuu
Watoto wa mtaani
Wanafunzi kukatishwa ndoa zao
Uti sugu,gono,HIV,fake relationships na nk
Hayo yote chanzo chake sio ngono...
Ni umaskini, kukosa elimu na malezi mabaya
 
Mkuu, sex si kitu kibaya kama sex, ni kwamba inatakiwa kwa utaratibu ili kuepuka mambo kama magonjwa ya ngono na kuleta watoto duniani huku mkiwa hampo tayari. Kuna watoto wanateseka kwa sababu kuna watu wazima walishindwa kuwa na utaratibu kwenye suala la sex. UKIMWI, gonorrhea,kansa ya kizazi etc yanatesa na kuua watu kwa sababu watu wanashiriki sex pasipo utaratibu kama ambavyo chakula si kibaya ila ukila pasipo utaratibu unajitafutia kisukari na presha. Cha muhimu utaratibu ufuatwe maana sisi ni binadamu.
Siku ukimuona mgonjwa wa Syphilis anavyopiga mayowe wakati anachomwa ile sindano ya matibabu hamu ya sex itakata nakwambia na utajishangaa kwanini ulianzisha huu uzi.
 
Kwenye hili swala hakuna mchungaji, Katekista, shekhe wala mtoa huduma na nasaha atakayenipangia
Mizuka ikipanda naruka na yeyote wa level yangu yeyote, siku nikipata wa kuoa (kama wapo lakini) ndo ntatuliza dudu
Karne ya 21 propaganda za dini na siasa zinafanya kazi kwa wachache
Kwa maFree thinker hazina kazi tunazichungulia kwa mbaali zinavyowawehusha brainwashed mpaka huruma
📌🎯🎯
 
Mkuu, sex si kitu kibaya kama sex, shida ni kwamba inatakiwa kwa utaratibu ili kuepuka mambo kama magonjwa ya ngono na kuleta watoto duniani huku mkiwa hampo tayari. Kama ambavyo chakula si kibaya ila ukila pasipo utaratibu unajitafutia kisukari na presha. Cha muhimu utaratibu ufuatwe maana sisi ni binadamu.
Siku ukimuona mgonjwa wa Syphilis anavyopiga mayowe wakati anachomwa ile sindano ya matibabu hamu ya sex itakata nakwambia na utajishangaa kwanini ulianzisha huu uzi.
Je, unacho kiongelea ni matokeo ya kukosa uhuru kwenye ngono au demonization ya ngono?

Sijasema ya kuwa eti kufanya sex kila muda ni mbaya, how kitu tu nacho Fanya kudemonize sex is the very thing creating matatizo..

Naelewa usemavyo kuwa for nowadays kuna magonjwa na ukiuendekeeza ngono kisa umeamua tu without reasoning utakuwa mjinga tena wa kutupwa.

But kuna point pia ya kuwa watu wanaitreat ngono kama means to an end badala ya kitu muhimu na haja yenye afya kabisa ikifanywa kwa uhuru
 
Ushetani kwa sababu ya dhana potofu tulojiwekea
Nimekosa jina jingine la kupotray hapo , lakini ukitazama hicho kitendo honestly ni ushetani mtupu fikiria kuwa mshua wako yupo naked halafu anapigwa BJ au ana suck pussy 😁😁😁

Halafu yupo naked na kitambi chake , bhana hicho kitendo ni pendwa but the way kilivyo ni kama watu wapo wana wanga 😁
 
Back
Top Bottom