Azizi Bin Adam
Member
- Apr 21, 2012
- 59
- 19
TGSD1 Baada ya makato yote na HESLB 580,400/-Tgs d ukitoa hedlb,payepsssf,nhif
Iyo ndio ule na mke watoto wanne mama mkwe baba mkwe wadogo zako wawili baba ba mamaTGSD1 Baada ya makato yote na HESLB 580,400/-
Kutoboa kupitia mshahara ni vigumu sanaIyo ndio ule na mke watoto wanne mama mkwe baba mkwe wadogo zako wawili baba ba mama
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hizi salary scale na elimu yangu nilio nayo mbona ina ogopesha
naona nitakuwa naenda kazini ili nipate hela ya kodi ya nyumba na Chakula tu mshahara wote kwisha
Inabidi ujiongezeKutoboa kupitia mshahara ni vigumu sana
Swali limekosa majibu ?TPCSS1 ni kiasi gan wadau
Unafanya na mishe zinazopatikana karibu na upeo wako
PMGSS 4.1 Ni sh ngp wakuu
TGHS C?1155000
Mara Nyingi wenye hiyo Huwa wanaanza maisha fresh from degree after 3 years akipanda daraja anadaka 700k na point akimaliza heselb 850kIyo ndio ule na mke watoto wanne mama mkwe baba mkwe wadogo zako wawili baba ba mama
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Na hadi wakubadilishie mshahara ni miaka 5 tangu wamekuajiri..Mara Nyingi wenye hiyo Huwa wanaanza maisha fresh from degree after 3 years akipanda daraja anadaka 700k na point akimaliza heselb 850k
Kweli. Ni umaskini juu ya umaskiniNa hadi wakubadilishie mshahara ni miaka 5 tangu wamekuajiri..
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kitu kama 1.8MTRA 3.1 Salary scale ni sh ngapi?
TRA 4:1 Ni bei gani??Kitu kama 1.8M
nasubiri jibu na mimiTRA 4:1 Ni bei gani??