Hii ni kweli. Kati ya chama chenye dalili ya kuiasi serilikali ni chadema. Na uasi huo wamepanga kuanzia Arusha, Ki
limanjaro na Mwanza. Hela zote zipo kwa ndesamburo. Njia za kuasi serikali ni kushawishi vijana na wanavyuo kama ilivyo Libya.
Munkari wa nini?...Tangu lini umeona capitalis party like CDM ikijali maisha ya walalahoi? Hawa wanasiasa wengi ni wezi tu huna haja ya kumtukana mtu kwa ajili ya wanasiasa usiowajua,You don't even know what kind of a party CDM is,are you a socialist or capitalist?...be open,theres no centrist party in this world.
You cant stay neutral(as in shift....gear) when the trainwreck is about to happen.
Hii ni kweli. Kati ya chama chenye dalili ya kuiasi serilikali ni chadema. Na uasi huo wamepanga kuanzia Arusha, Ki
limanjaro na Mwanza. Hela zote zipo kwa ndesamburo. Njia za kuasi serikali ni kushawishi vijana na wanavyuo kama ilivyo Libya.
Utashangazwa kuna watu hata hawajui maana ya kuhasi,uelewa wao hauwaruhusu kutambua kuwa tuko kwenye nyakati za tofauti.Eti CHADEMA watai hasi serikali,CHADEMA inaunda serikali?Hawa watu hamnazo kabisa.Hauifahamu chadema, hawana cha kuiasi serikali, achanei kuwa waoga hivyo.....chadema kinakua na kinaweza kukamata nchi muda wowote ule kwa sababu ya lile wanaloliamini.
Hauifahamu chadema, hawana cha kuiasi serikali, achanei kuwa waoga hivyo.....chadema kinakua na kinaweza kukamata nchi muda wowote ule kwa sababu ya lile wanaloliamini.
It doesn`t matter,tunachotaka ni Tanzania mpya na wala si tz yenye mafisadi,rushwa na umaskini mkubwa huku tukijifariji na amani,amani pasipo haki na maendeleo si kitu na amani haiji bila upanga.CDM kupewa pesa ni sahihi kabisa.
Sitaki Chadema wapewe pesa na wazungu ili sisi tujikomboe. Hao wazungu wanatarajia vipi kirudisha pesa zao? Kwa nini wanaingia garama hivyo ili sisi tujikomboe?
Sioni ni kwa nini tulipwe ndipo tujikomboe. Mimi nimejihusisha sana na harakati za kujikomboa lakini silipwi na sitaki nilipwe.
Kwa nini viongozi wa Chadema walipwe pesa kwa kazi ambayo tayari wananchi tunaifanya kwa nguvu na hiari yetu? Si ni utapeli? Si wakiingia madarakani watakuwa wanawajibika kwa wafadhili badala ya kwa wananchi, kama wanavyofanya ccm?