Nyaraka za siri za Marekani na mpango wa kumuua Putin zaanikwa

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Zimejadili mpango wa kumuua Putin; Marekani yakiri uvujaji wa nyaraka za kijasusi ni jambo hatari.

Marekani imekiri kwamba uvujaji wa nyaraka za siri za Wizara ya Ulinzi wa nchi hiyo, Pentagon ni jambo hatari na kwamba suala hilo ni uvujishaji mkubwa wa taarifa za kijasusi.

Sambamba na hayo gazeti la New York Times limepata moja ya nyaraka za siri zilizovujishwa kuhusu vita vya Ukraine ambao unajadili machaguo manne ya kidhahania ya kuhitimisha vita hivyo ikiwa ni pamoja na kumuua Rais Vladimir Putin wa Russia.

John Kirby, msemaji wa Baraza la Usalama wa Kitaifa la Marekani ameviambia vyombo vya habari kuwa: "Kuvujishwa kwa nyaraka hizo za siri za Pentagon ni ukiukaji wa uwezo wetu wa kulinda taarifa za siri, na ndio maana tunalichukulia suala hilo kwa uzito mkubwa."

Katika muktadha huo, Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA, William Burns amesema, kuvuja kwa nyaraka za siri kutoka Wizara ya Ulinzi ni jambo la kusikitisha sana na kwamba Wamarekani wanapaswa kujifunza somo kuhusu jinsi ya kuimarisha hatua zao za usalama kwenye nyaraka kama hizo.

Mkurugenzi wa CIA amesema, "Ni uvujaji mbaya, na inasikitisha sana kwamba umehusu nyaraka zilizoainishwa kama zenye usiri mkubwa." William Burns amesema Serikali ya Marekani inalipa uzito mkubwa suala hilo. Amesema tayari wizara za ulinzi na sheria zinashughulikiia kashfa hiyo.

Maafisa wa Marekani wanafanya juhudi kubwa kusaka chanzo cha uvujaji wa nyaraka hizo za siri za kijeshi na kijasusi zilizosambazwa kwenye mtandao ambazo zinajumuisha maelezo marefu, yakiwemo yale yanayohusiana na ulinzi wa anga wa Ukraine na shirika la ujasusi la Israel (Mossad).

Wataalamu wa usalama wa nchi za Magharibi na maafisa wa Marekani wamesema wanashuku kuwa huenda mtu kutoka Marekani ndiye aliyehusika na uvujaji huo.

Maafisa wanasema upana wa maudhui zilizovujishwa katika nyaraka hizo za siri zinazohusu vita vya Ukraine, Uchina, Mashariki ya Kati na Afrika, unaonyesha kuwa zimevunjishwa na raia wa Marekani na sio nchi mshirika wa taifa hilo.

Kwa upande wake, gazeti la The New York Times lilisema limepata waraka wa kijasusi kati ya nyaraka hizo za Pentagon zilizovuja, unaoeleza mipango iliyoandaliwa kushughulikia hali ya dharura, mwaka mmoja baada ya kuanza vita nchini Ukraine.

Waraka huo unajumuisha uchanganuzi uliofanywa na Shirika la Ujasusi la Ulinzi la Marekani ambao unabainisha mambo 4 ya kidhahania ikiwa ni pamoja na mpango wa kuuawa Rais wa Russia, Vladimir Putin, mabadiliko ya uongozi wa vikosi vya jeshi la Russia, na mashambulizi ya Ukraine dhidi ya ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin.

Uvujishaji huo wa nyaraka za kijasusi na zenye usiri mkubwa za Pentagon unatajwa kuwa mkubwa zaidi wa masuala ya usalama tangu ule uliofanywa na WikiLeaks 2013, ambao ulijumuisha zaidi ya nyaraka 700,000, video na jumbe za kidiplomasia.

4c3k005e05aa2129nv2_800C450.jpg
 
Whoever believes this crap should have his/her head examined -90% of of allegations are made up by US Intel itself just to instill fear to some Natons and Russia in particular no one in his/her right mind can suggest assassinating Putin for instance whether by using Ukraine long range missiles or other overt/covert operation and expect Biden and his Administration to be safe ie get away with such heinous crime without mega retribution from them Russians!!

As I said the whole thing is made up - there is no such mega leakages anywhere, these are purely political gimmicks intended to get away out of Ukraine dire straits or some kind of peace settlement without embarrassing any one a very clever ploy by the west.

Now lets go back to the main point namely planning to assassinate Vlad Putin, my opinion is US should drop such wild idea in other words US intel agencies should never ever, ever underrate Russian FSB Bureau - they can get anyone at the time of their choosing - stop talking nonsense and inflating your capabilities - you can't kill head of State of another Nation specifically Russia and expect to get away with it, don't you forget that Russia is a Hyper Power Nation not some Banana Republic - stop day dreaming unless you want to unleash WW3.
 
Whoever believes this crap should have his/her head examined -90% of of allegations are made up by US Intel itself just to instill fear to some Natons and Russia in particular no one in his/her right mind can suggest assassinating Putin for instance whether by using Ukraine long range missiles or other overt/covert operation and expect Biden and his Administration to be safe ie get away with such heinous crime without mega retribution from them Russians!!

As I said the whole thing is made up - there is no such mega leakages anywhere, these are purely political gimmicks intended to get away out of Ukraine dire straits or some kind of peace settlement without embarrassing any one a very clever ploy by the west.

Now lets go back to the main point namely planning to assassinate Vlad Putin, my opinion is US should drop such wild idea in other words US intel agencies should never ever, ever underrate Russian FSB Bureau - they can get anyone at the time of their choosing - stop talking nonsense and inflating your capabilities - you can't kill head of State of another Nation specifically Russia and expect to get away with it, don't you forget that Russia is a Hyper Power Nation not some Banana Republic - stop day dreaming unless you want to unleash WW3.
It makes sense at some point
 
Zimejadili mpango wa kumuua Putin; Marekani yakiri uvujaji wa nyaraka za kijasusi ni jambo hatari.

Marekani imekiri kwamba uvujaji wa nyaraka za siri za Wizara ya Ulinzi wa nchi hiyo, Pentagon ni jambo hatari na kwamba suala hilo ni uvujishaji mkubwa wa taarifa za kijasusi.

Sambamba na hayo gazeti la New York Times limepata moja ya nyaraka za siri zilizovujishwa kuhusu vita vya Ukraine ambao unajadili machaguo manne ya kidhahania ya kuhitimisha vita hivyo ikiwa ni pamoja na kumuua Rais Vladimir Putin wa Russia.

John Kirby, msemaji wa Baraza la Usalama wa Kitaifa la Marekani ameviambia vyombo vya habari kuwa: "Kuvujishwa kwa nyaraka hizo za siri za Pentagon ni ukiukaji wa uwezo wetu wa kulinda taarifa za siri, na ndio maana tunalichukulia suala hilo kwa uzito mkubwa."

Katika muktadha huo, Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA, William Burns amesema, kuvuja kwa nyaraka za siri kutoka Wizara ya Ulinzi ni jambo la kusikitisha sana na kwamba Wamarekani wanapaswa kujifunza somo kuhusu jinsi ya kuimarisha hatua zao za usalama kwenye nyaraka kama hizo.

Mkurugenzi wa CIA amesema, "Ni uvujaji mbaya, na inasikitisha sana kwamba umehusu nyaraka zilizoainishwa kama zenye usiri mkubwa." William Burns amesema Serikali ya Marekani inalipa uzito mkubwa suala hilo. Amesema tayari wizara za ulinzi na sheria zinashughulikiia kashfa hiyo.

Maafisa wa Marekani wanafanya juhudi kubwa kusaka chanzo cha uvujaji wa nyaraka hizo za siri za kijeshi na kijasusi zilizosambazwa kwenye mtandao ambazo zinajumuisha maelezo marefu, yakiwemo yale yanayohusiana na ulinzi wa anga wa Ukraine na shirika la ujasusi la Israel (Mossad).

Wataalamu wa usalama wa nchi za Magharibi na maafisa wa Marekani wamesema wanashuku kuwa huenda mtu kutoka Marekani ndiye aliyehusika na uvujaji huo.

Maafisa wanasema upana wa maudhui zilizovujishwa katika nyaraka hizo za siri zinazohusu vita vya Ukraine, Uchina, Mashariki ya Kati na Afrika, unaonyesha kuwa zimevunjishwa na raia wa Marekani na sio nchi mshirika wa taifa hilo.

Kwa upande wake, gazeti la The New York Times lilisema limepata waraka wa kijasusi kati ya nyaraka hizo za Pentagon zilizovuja, unaoeleza mipango iliyoandaliwa kushughulikia hali ya dharura, mwaka mmoja baada ya kuanza vita nchini Ukraine.

Waraka huo unajumuisha uchanganuzi uliofanywa na Shirika la Ujasusi la Ulinzi la Marekani ambao unabainisha mambo 4 ya kidhahania ikiwa ni pamoja na mpango wa kuuawa Rais wa Russia, Vladimir Putin, mabadiliko ya uongozi wa vikosi vya jeshi la Russia, na mashambulizi ya Ukraine dhidi ya ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin.

Uvujishaji huo wa nyaraka za kijasusi na zenye usiri mkubwa za Pentagon unatajwa kuwa mkubwa zaidi wa masuala ya usalama tangu ule uliofanywa na WikiLeaks 2013, ambao ulijumuisha zaidi ya nyaraka 700,000, video na jumbe za kidiplomasia.

View attachment 2586768
FSB washafanya yao 🤣🤣🤣
 
Zimejadili mpango wa kumuua Putin; Marekani yakiri uvujaji wa nyaraka za kijasusi ni jambo hatari.

Marekani imekiri kwamba uvujaji wa nyaraka za siri za Wizara ya Ulinzi wa nchi hiyo, Pentagon ni jambo hatari na kwamba suala hilo ni uvujishaji mkubwa wa taarifa za kijasusi.

Sambamba na hayo gazeti la New York Times limepata moja ya nyaraka za siri zilizovujishwa kuhusu vita vya Ukraine ambao unajadili machaguo manne ya kidhahania ya kuhitimisha vita hivyo ikiwa ni pamoja na kumuua Rais Vladimir Putin wa Russia.

John Kirby, msemaji wa Baraza la Usalama wa Kitaifa la Marekani ameviambia vyombo vya habari kuwa: "Kuvujishwa kwa nyaraka hizo za siri za Pentagon ni ukiukaji wa uwezo wetu wa kulinda taarifa za siri, na ndio maana tunalichukulia suala hilo kwa uzito mkubwa."

Katika muktadha huo, Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA, William Burns amesema, kuvuja kwa nyaraka za siri kutoka Wizara ya Ulinzi ni jambo la kusikitisha sana na kwamba Wamarekani wanapaswa kujifunza somo kuhusu jinsi ya kuimarisha hatua zao za usalama kwenye nyaraka kama hizo.

Mkurugenzi wa CIA amesema, "Ni uvujaji mbaya, na inasikitisha sana kwamba umehusu nyaraka zilizoainishwa kama zenye usiri mkubwa." William Burns amesema Serikali ya Marekani inalipa uzito mkubwa suala hilo. Amesema tayari wizara za ulinzi na sheria zinashughulikiia kashfa hiyo.

Maafisa wa Marekani wanafanya juhudi kubwa kusaka chanzo cha uvujaji wa nyaraka hizo za siri za kijeshi na kijasusi zilizosambazwa kwenye mtandao ambazo zinajumuisha maelezo marefu, yakiwemo yale yanayohusiana na ulinzi wa anga wa Ukraine na shirika la ujasusi la Israel (Mossad).

Wataalamu wa usalama wa nchi za Magharibi na maafisa wa Marekani wamesema wanashuku kuwa huenda mtu kutoka Marekani ndiye aliyehusika na uvujaji huo.

Maafisa wanasema upana wa maudhui zilizovujishwa katika nyaraka hizo za siri zinazohusu vita vya Ukraine, Uchina, Mashariki ya Kati na Afrika, unaonyesha kuwa zimevunjishwa na raia wa Marekani na sio nchi mshirika wa taifa hilo.

Kwa upande wake, gazeti la The New York Times lilisema limepata waraka wa kijasusi kati ya nyaraka hizo za Pentagon zilizovuja, unaoeleza mipango iliyoandaliwa kushughulikia hali ya dharura, mwaka mmoja baada ya kuanza vita nchini Ukraine.

Waraka huo unajumuisha uchanganuzi uliofanywa na Shirika la Ujasusi la Ulinzi la Marekani ambao unabainisha mambo 4 ya kidhahania ikiwa ni pamoja na mpango wa kuuawa Rais wa Russia, Vladimir Putin, mabadiliko ya uongozi wa vikosi vya jeshi la Russia, na mashambulizi ya Ukraine dhidi ya ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin.

Uvujishaji huo wa nyaraka za kijasusi na zenye usiri mkubwa za Pentagon unatajwa kuwa mkubwa zaidi wa masuala ya usalama tangu ule uliofanywa na WikiLeaks 2013, ambao ulijumuisha zaidi ya nyaraka 700,000, video na jumbe za kidiplomasia.

View attachment 2586768
Marekani hawana uwezo wa kuumua Putin labda wapewe msaada wa kichawi kutoka Tanganyika
 
Kumuua Putin ndio mbinu Yao ya mwisho kabisa kwa umoja wao wote wa west.
Kwa maana mbinu nyingine zote kawashinda bwana Putin.
Amewazhinda kivita,kivikwazo na kisisasa.
Angekua ni Rais wa nchi dhaifu,Sasa haivi angekua the Hague.
Tutabishana sana,lkn namba hua hazidanganyi,nchi moja dhidi ya nchi 40+ na zimeishindwa kwa Kila mbinu basi ujue nchi hiyo ni kubwa zaidi Yao.

Hata hivyo bado hata hiyo njia ya kutaka kumuua inaweza ikaishia kwa vifo kwa Viongozi wao .
Maana Urusi na sio wepesi kihivyo.
 
Back
Top Bottom