The contentious issue is not owning property. The issue is how one acquired that property.Who is the owner of Protea Hotels and Keys Hotels. When the time comes all you will regrect to what you are
chearing and making bang bang here at jf
really?If not through "intellectual property",owning a property above the average(34% live below poverty line) is straight up unfair!The contentious issue is not owning property. The issue is how one acquired that property.
Hii ni kweli. Kati ya chama chenye dalili ya kuiasi serilikali ni chadema. Na uasi huo wamepanga kuanzia Arusha, Ki
limanjaro na Mwanza. Hela zote zipo kwa ndesamburo. Njia za kuasi serikali ni kushawishi vijana na wanavyuo kama ilivyo Libya.
Acha umbumbumbu wako,
marekani walikuja kukata umeme TZ?
marekani walikuja kupandisha bei ya umeme?
marekani waliwaambia mng'ang'anie kutaka kuilipa dowans?
wizi wa EPA umeletwa na wamarekani?
marekani waliwaambia mtoe rasilimali za wananchi bure?
wamarekani waliwaambia muwabague wanachuo kwenye mikopo?
wamarekani wamewaambie muwakejeli wafanyakazi?
wamarekani wamewambia beiza za vitu zipande bila mpangilio?
marekani wamawaambia mkaue raia arusha?
marekani wamewaambia nyie CCM ndio mtengeneze katiba ya hii nchi?
marekani ndio waliwaambia mlee mafisadi?
marekani wamewambia mchakachue kura za wananchi?
Au haya yote meambiwa myafanye na CDM?
mbona mnakuwa kama hamna akili nyiye CCM?
Haya ndio mambo yatakayo watoa madarakani msipojirekebisha mapema, tuna hasira sana na nyiye mafisadi
Maneno sahihi kabisa,lakini jambo la ajabu watajifanya hawakuelewi umesema nini. Jana nilikuwa nazungumza na kada mmoja wa CCM wa siku nyingi na akanishangaza kwa kuniambia kuwa yeye na baadhi ya wenzake sasa hivi wanaona aibu hata kujitambulisha kuwa wao ni wana CCM kutokana na uropokaji,ufinyu wa uelewa,mawazo mgando nk. unaowakumba baadhi ya viongozi wao.Acha umbumbumbu wako,
marekani walikuja kukata umeme TZ?
marekani walikuja kupandisha bei ya umeme?
marekani waliwaambia mng'ang'anie kutaka kuilipa dowans?
wizi wa EPA umeletwa na wamarekani?
marekani waliwaambia mtoe rasilimali za wananchi bure?
wamarekani waliwaambia muwabague wanachuo kwenye mikopo?
wamarekani wamewaambie muwakejeli wafanyakazi?
wamarekani wamewambia beiza za vitu zipande bila mpangilio?
marekani wamawaambia mkaue raia arusha?
marekani wamewaambia nyie CCM ndio mtengeneze katiba ya hii nchi?
marekani ndio waliwaambia mlee mafisadi?
marekani wamewambia mchakachue kura za wananchi?
Au haya yote meambiwa myafanye na CDM?
mbona mnakuwa kama hamna akili nyiye CCM?
Haya ndio mambo yatakayo watoa madarakani msipojirekebisha mapema, tuna hasira sana na nyiye mafisadi
Acha ubwege huo kwa maana hiyo unataka kuudanganya umma kwamba nchi hapa ilipo inautengamano? Hebu jaribu kufikiri kwa kichwa na wala sikwatumbo.Naona wengi wanafikiri kuwa kuitowa CCM madarakani kwa nguvu ndio kutatuwa matatizo, hawaoni wala hawasomi kuwa huo ndio utakuwa mwanzo wa matatizo, wanioneshe nchi moja iliyotolewa serikali iliyopo madarakani kwa fitina yenye kukalika duniani hivi sasa.
Yaani chadema inawanyima usingizi balaa, hadi watoboe 2015 watakuwa wamemalizwa na vidonda vya tumbo na presha achilia mbali visukari!
Who is the owner of Protea Hotels and Keys Hotels. When the time comes all you will regrect to what you are
chearing and making bang bang here at jf
Ipo siku mtawajua hawa chadema nia yao ni ipi baada ya nchi hii kutotawalika kabisa kama wao wanavyotaka endeleeni kuwaanini
mmh kwamba alikua anapewa pesa yeye na mrema kuleta machafuko na fujo nchini!! hivi alikua anaongea hayo maneno baada ya kufukamia mbege au vp?
Hii ni kweli. Kati ya chama chenye dalili ya kuiasi serilikali ni chadema. Na uasi huo wamepanga kuanzia Arusha, Ki
limanjaro na Mwanza. Hela zote zipo kwa ndesamburo. Njia za kuasi serikali ni kushawishi vijana na wanavyuo kama ilivyo Libya.
Amekaririwa na ITV kwenye taarifa ya saa tano na robo usiku huu
Jina lake kamili ni Thomas Ngawaiya, aliwahi kuwa mbunge wa Moshi vijijini kwa tiketi ya TLP, baada ya kukorofishana na Mrema akajisalimisha ccm
Ameongea kwa kutumia wadhifa wake wa Mkiti wa wazazi wa ccm mkoa wa Kilimanjaro
Amesema yeye na MREMA waliwahi kupewa pesa na serikali ya marekani ili wachochee vurugu tz watu wauane ili nchi ionekane ni ya machafuko kama kenya. Amesema alikuja pesa na kuanzisha maandamano sana Dar
Amesema baadaye Mrema alimwambia kwamba hizi pesa wanazopewa kuanzisha vurugu kwenye nchi Yao wakati wamarekani wamekaa kwao kwa amani hazifai. Wakawakatalia wamarekani halafu mrija wa pesa ukakatwa.
Amesema ni staili hiyo wamarekani wametumia kuleta uasi huko afrika kaskazini. Kwamba Hapa tz wamewapatia Chadema hizo pesa ili wachochee uasi Kama ule wa afrika kaskazini. Kwamba ndo maana Chadema "wanachochea vurugu" kwa sababu wameshalipwa pesa.
Alikuwa anaongea kwa kujiamini huku akieonekana kama yuko kwenye group activity fulani, sikuina vizuri, labda walikuwa wanapanda miti.