Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Yale yale mara Eu mara marekani ni mpaka nchi hizo zitakapoikatia serikali misaada ndipo athari za uzushi wao zitakapoonekana
Hilo la kukata misaada tayari mkuu muda tu unasubiriwa liwekwe bayana, kabla ya mwisho wa mwezi wa tano utasikia maneno ya wafadhili. Hili halijasababishwa na Chadema bali serikali kuaminiwa na kupewa pesa kupitia GBS halafu wanazitafuna kama mchwa bila kuchukuliana hatua.
CAG reports, reports na maagizo ya kamati za bunge zinazosimamia matumizi ya serikali zote zinapatikana mtandaoni. Donors HQ hawahitaji kuhabarishwa na mtu yeyote kuwaarifu nini kinaendelea hapa wakati wanapata taarifa mtandaoni. Viongozi wa nchi za wenzetu wana tabia ya kusoma, wa kwetu husubiri kuambiwa.