IDEGENDA JF-Expert Member Sep 15, 2013 4,505 5,333 Mar 31, 2021 #141 KooZito said: JAMANI NIONE WAPI MAHOJIANO???? STAR TV HAKUNA KITU WAPIIIII Click to expand... Nenda kwenye page ya VOA straight talk afrika. Kiufupi Lisu hana jipya ila Lumumba kamfunda, akifanyia kazi atafika mbali
KooZito said: JAMANI NIONE WAPI MAHOJIANO???? STAR TV HAKUNA KITU WAPIIIII Click to expand... Nenda kwenye page ya VOA straight talk afrika. Kiufupi Lisu hana jipya ila Lumumba kamfunda, akifanyia kazi atafika mbali
WAZO2010 JF-Expert Member Feb 19, 2021 1,610 3,738 Mar 31, 2021 #142 IDEGENDA said: Nenda kwenye page ya VOA straight talk afrika. Kiufupi Lisu hana jipya ila Lumumba kamfunda, akifanyia kazi atafika mbali Click to expand... Lumumba yupo Kenya. DP Ruto ni tishio. Rushwa kila sehemu. Yy amefanya nn Kenya
IDEGENDA said: Nenda kwenye page ya VOA straight talk afrika. Kiufupi Lisu hana jipya ila Lumumba kamfunda, akifanyia kazi atafika mbali Click to expand... Lumumba yupo Kenya. DP Ruto ni tishio. Rushwa kila sehemu. Yy amefanya nn Kenya
B bagamoyo JF-Expert Member Jan 14, 2010 21,323 24,230 Mar 31, 2021 #143 31 March 2021 Straight Talk Africa [simulcast] www.voanews.com
Lukub JF-Expert Member Feb 5, 2012 3,044 3,371 Mar 31, 2021 #144 Bavicha tumeni clip ndogi ndogo muone tofauti ya profesa na mwanasheria msomi ,profesa kamnyoosha MTU huko analalamika kama yatima
Bavicha tumeni clip ndogi ndogo muone tofauti ya profesa na mwanasheria msomi ,profesa kamnyoosha MTU huko analalamika kama yatima
B brazaj JF-Expert Member Jul 26, 2016 27,889 35,901 Apr 1, 2021 #146 papason said: Kama mnategemea star tv kurusha live huu mpambano mnajidanganya, TL akianza kumpiga spana marehem star tv watachomekea tangazo la biashara au tanesco wanafanya wao.. Click to expand... Star TV walikuwa na hayati akitoa yake ya moyoni kuhusiana na yale mambo yetu ya korosho basically kedekede kwa waziri mpendwa tamisemi Jaffo. Kweli kila zama na kitabu chake. πππππππππ.
papason said: Kama mnategemea star tv kurusha live huu mpambano mnajidanganya, TL akianza kumpiga spana marehem star tv watachomekea tangazo la biashara au tanesco wanafanya wao.. Click to expand... Star TV walikuwa na hayati akitoa yake ya moyoni kuhusiana na yale mambo yetu ya korosho basically kedekede kwa waziri mpendwa tamisemi Jaffo. Kweli kila zama na kitabu chake. πππππππππ.
B brazaj JF-Expert Member Jul 26, 2016 27,889 35,901 Apr 1, 2021 #147 Lukub said: Bavicha tumeni clip ndogi ndogo muone tofauti ya profesa na mwanasheria msomi ,profesa kamnyoosha MTU huko analalamika kama yatima Click to expand... Clip za nini? Kwani Star TV walithubutu kurusha? Yaonesha waliona Prof atamnyoosha mtu. Hiiiiii bagosha!
Lukub said: Bavicha tumeni clip ndogi ndogo muone tofauti ya profesa na mwanasheria msomi ,profesa kamnyoosha MTU huko analalamika kama yatima Click to expand... Clip za nini? Kwani Star TV walithubutu kurusha? Yaonesha waliona Prof atamnyoosha mtu. Hiiiiii bagosha!
kiboboso JF-Expert Member Sep 17, 2013 9,182 12,286 Apr 1, 2021 #148 IDEGENDA said: Nenda kwenye page ya VOA straight talk afrika. Kiufupi Lisu hana jipya ila Lumumba kamfunda, akifanyia kazi atafika mbali Click to expand... Yeye huyo lumumba mbona hajafika mbali?
IDEGENDA said: Nenda kwenye page ya VOA straight talk afrika. Kiufupi Lisu hana jipya ila Lumumba kamfunda, akifanyia kazi atafika mbali Click to expand... Yeye huyo lumumba mbona hajafika mbali?
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,595 215,280 Apr 2, 2021 #149 Kijumba cha mwendazake huko Chato