Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,456
Wewe unataka arushe ili iweje? anzishe tv yako au ile yenu ya CCM TBC-CCM na channel tenTunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.
Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.
Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.
Ki zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!