Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Nyie watu, mbona mnabishana Mdomo uko wapi wakati pua mnaiona?
HIVI KATIBA INASEMAJE kuhusu kesi kama hii ya Rais wa nchi anafariki / Kufa?
Je ni kweli Mbunge wa Chama (Mbowe) atakuwa RAIS? Si huyu Mbowe Watz walimkataa?
Au hata awe PM, katiba inamsema PM awe Rais wa nchi? Labda awe SPIKER wa bunge na hata hivyo itabidi Rais na Makamu wake wote wawe wamekufa. Na hata hivyo, spiker inabidi tu aitishe Uchaguzi haraka na si kuwa yeye ndiyo awe Rais. Kwenye uchaguzi hakuna uhakika kama atashinda. Kama watu wanataka kumuondoa Kikwete, sembuse Mbowe kama Acting President kwa nguzo ya Spiker?
Ingelikuwa BUSARA zaidi, Maggid akaaanza kukubaliana na Dr Slaa ili katiba kwenye hili swala iwekwe wazi zaidi na kama kuna utata unaweza kuleta nchi kuyumba basi na huo pia uondolewe.
Kwa kifupi hapa ni SWALA la KATIBA na si MTI MMOJA. Kama Chadema hakijajiandaa na Rais wao janga limemkuta, basi wataondolewa na CCM kama siyo CUF. Vita yao ni furaha ya Kunguru. Mbaya kama wakipatana, hapo tunaumia sisi Wananchi. Hebu ona kicheko cha CUF wakikutana na CCM leo, unategemea Mzenji atafaidika kweli hapo? CCM Zenji wanapeta tu wala hawana Wasiwasi.
HIVI KATIBA INASEMAJE kuhusu kesi kama hii ya Rais wa nchi anafariki / Kufa?
Je ni kweli Mbunge wa Chama (Mbowe) atakuwa RAIS? Si huyu Mbowe Watz walimkataa?
Au hata awe PM, katiba inamsema PM awe Rais wa nchi? Labda awe SPIKER wa bunge na hata hivyo itabidi Rais na Makamu wake wote wawe wamekufa. Na hata hivyo, spiker inabidi tu aitishe Uchaguzi haraka na si kuwa yeye ndiyo awe Rais. Kwenye uchaguzi hakuna uhakika kama atashinda. Kama watu wanataka kumuondoa Kikwete, sembuse Mbowe kama Acting President kwa nguzo ya Spiker?
Ingelikuwa BUSARA zaidi, Maggid akaaanza kukubaliana na Dr Slaa ili katiba kwenye hili swala iwekwe wazi zaidi na kama kuna utata unaweza kuleta nchi kuyumba basi na huo pia uondolewe.
Kwa kifupi hapa ni SWALA la KATIBA na si MTI MMOJA. Kama Chadema hakijajiandaa na Rais wao janga limemkuta, basi wataondolewa na CCM kama siyo CUF. Vita yao ni furaha ya Kunguru. Mbaya kama wakipatana, hapo tunaumia sisi Wananchi. Hebu ona kicheko cha CUF wakikutana na CCM leo, unategemea Mzenji atafaidika kweli hapo? CCM Zenji wanapeta tu wala hawana Wasiwasi.