Na Maggid Mjengwa,
" One tall tree does not make a jungle"- Nelson Mandela.
Hakika, na mimi naamini, kuwa Chama cha kisiasa chenye nguvu kinatokana na kazi ya timu iliyoandaliwa vema. Na si mtu mmoja.
Kweli one natural tall tree can not make a jungle lakini that natural tall tree can be a sign that a jugle can be created in that area. Lakini kumbuka vile vile many tall trees sio sign of jungle they can be
"artificial" trees. Dubai huko wana mifano ya kutengenza
Na ukisema chama cha kisiasa cheny nguvu ni
nguvu gani??? Nguvu za kifisadi, nguvu za kiadilifu, nguvu za kizalendo au ..... fafanua mkubwa.
Binafsi naona hata lama chama kina mtu moja wa kumtegemea ambaye muadilifu ni bora kuliko chama kinachoongozwa chenye nguvu, kinachohubiri uadilifu lakini matendo yake kwa miaka 40 ni tofauti. Nguvu za chama limojawapo ambacho hujapenda kukitaja badla yake umetumia TANU ni za
kiutawala sio za nguvu za
kiuongozi.
Vile vile elewa hata mti una shina na mizizi, familia ina chanzo, mto una chanzo na vyama vya siasa vina waaasisi. I mean before having many you start with one.
Tujiulize; Je, chama cha siasa ni nini? Katika harakati za kisiasa kuna aina mbili za vyama; Chama cha Ukombozi na Chama cha Uongozi. TANU, FRELIMO, ANC ni mifano ya vyama vya ukombozi vilivyokuja kugeuka kuwa vyama vya uongozi. CCM, CUF, CHADEMA ni mifano michache ya vyama vya uongozi.
Je vipi nikisema tanzania bado
hatujakombolewa?Je vipi nikiwakwambia kama ni kweli unayosema si sawa CCM kujiita chama chacha kiuongozi. Ni kweli kazi ya ukombozi iliisha. Je wanachi wameshakombolewa na matatizo ya msingi kama afya, elimu, nishati miundombinu?
Kimtazamo mwingine naweza kusema kazi ya ukombozi hata hao TANU hawakuikamilisha waliishia njiani wakaanza mikakati ya chama kumiliki dola.
Chama imara cha ukombozi kinatakiwa kijenge uwezo wa kuwa chama cha uongozi mara ile kitapotwaa madaraka. Hufanya hivyo kwa kuweka mkazo juu ya mafunzo kwa makada wake. TANU, FRELIMO na ANC viliweza kujenga uwezo huo. Kielelezo cha nguvu na umakini wa chama cha kisiasa ni uwingi na ubora wa makada wake. Chama ni makada kwa vile chama ni itikadi, malengo na shabaha na wala si nasaba na umaarufu wa mtu mmoja mmoja ndani ya chama.
Chama chenye makada wengi wenye kuielewa itikadi, malengo na shabaha ya chama, huwa hakimtegemei mtu mmoja katika kuwepo kwake. Hakimtegemei mtu mmoja katika kufanikisha ushindi wa chama. Hakimtegemei mtu mmoja katika kuhamasisha wanachama au umma. Chama hicho hujiamini. Edward Mondlane, kiongozi wa kwanza wa Frelimo alipouawa kwa bomu la barua, Frelimo walijua watafanya nini, walijua mchakato gani utumike katika kumpata mrithi wake. Na hata Samora Machel, alipotoweka ghafla kwa ajali ya ndege, FRELIMO walijua watafanya nini.
Sasa tupe mfano kwa Tanzania kwa mazingira ya sasa. Kuwa muwazi vyama tllivyonavyo ni CCM, CHADEMA , CUF, NCCR TLP. etc Ni ipi unaona ni chama cha mtu 1ja ?Umri wa vyama unajulikana. advantage, postion na operating enviroment ya hivi vyote tunavijua.Weka
factor zote in consideartion. sasa kipi ni chama bora? Binafsi naweka CCM cha mwisho. tumewapa usukani lakini sio tu hatufiki bali hatujui tunaenda wapi lakini gari linakwenda. sijui unasemaje ka hilo
Kuna usemi pia ni bora uwe na
jeshi la mtu 1ja mwenye uzalendo na ari kuliko kuwa na jeshi la askari ambao hawana ari wala nia ya dhati na uzalendo wa kupigana vita.
Vile vile usisahu wataalmu wanakwambia
QUALITY should be of more priority na sio
QUANTITY.
Kuna chama kina makada wengi wanaielewa itikadi malengo na shabaha ya chama chao. lakini matendo yao ni tofauti na uelewa wao. risk ya Umeme wa mgao ukija mwaka kesho watasema ni changamoto.
Mfano mdogo chama hichi chenye makada wengi kiko madarakani.kwa miaka kama 10 umeme mijini kimekuwa tatizo.Wao wanasema kila mwaka tatizo la umeme ni
changamoto. Mimi nasema mgao wa umeme sio changamoto ni
Failure. Changamoto inakuja mara moja tu ikija mara 10 ukashindwa kuikabili ni failure. Mgao wa umeme sio kimbunga au mafuriko. Usisahu Makada hawa wengine wana PHD, na degree mbili mbili.
...............