Kitu kimoja unasahau,
Kutokana na nguvu zilizokuwa zimemzunguka John Garang matokeo yake ni kuwa mara baada ya kufariki kwake na vision yake ya Sudan moja yenye usawa ikatupwa. Wakaibuka kina Salva Kiir na wenzake with ile hidden intention ambayo ni succession by any means...Nadhani kilichoendelea wakati na baada ya uchaguzi wao mwezi July unakijua....Kinachofuatia baada ya referendum dalili hazifichi......
This tells a lot about political organisations zenye kujinasibu na ajenda ya UKOMBOZI. Always with hidden agenda ambayo wenye nayo huwa tayari kujificha nyuma ya kinara wa "UKOMBOZI", huwa zinaibuka wazi mara baada ya kinara kuondoka ama kuondolewa na mara nyingi huwa na remifications zake ambazo huathiri wale ambao walipaswa kukombolewa. No wonder u see people like Museveni hawako tayari kuondoka ama kuondolewa kwani wanajua hayo ya hidden ajenda.
Inapokuja na "ukombozi" wa Tanzania, na kwa kuangalia propaganda zinazoendeshwa kumzunguka KINARA Slaa pekee ni kuwa wenye kuendesha UKOMBOZI huo wanajua kuwa ukifunua zaidi ya Dr Slaa na ajenda ya ukombozi utakuta mengi yasiyo na sura za kuvuti kwa wale wanaopaswa kukombolewa....
Here is the scenario: "UKOMBOZI" unafanikiwa, Chochote kinatokea kwa Rais Slaa, Makamo wake hakuna anayetakiwa kumjua hadi sasa zaidi ya jina lake na kuwa anatoka Zanzibar (we all know kuwa kama sio hitaji la katiba wala asingekuwepo)........So the real power will remain with who..........FREEMAN MBOWE, Chairman and Prime Minister (The guy learned a lot from Lowassa)....utamalizia mwenyewe kitakachofuata.......
Just like in Zanzibar with Maalim as Pragmatic and bridge builder...but u know who will fill his position if anything happen???? Will the reconciliation agenda have chance to survive or IT WILL BE OUR TURN TO SUPPRESS and EAT ENOUGH?? Well, atleast CUF have more developed institutions and party discipline.