Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Maggid anashindwa kuelewa CHADEMA kinaendelea kukuwa kwa kasi ya ajabu, mijini pamoja na vijijini. CHADEMA ni chama makini, na ndio maana watu kama kina Maggid hawazungumzii vyama vingine kabisa, wao ni kumshambulia Dokta kila kukicha. Maggid lazima utambue ya kuwa CHADEMA kilikuwapo kabla ya Dokta na kitaendelea kuwapo kwa sababu ya SERA zake bora lengo la kumkomboa mtanzania.